What pesticide is in your stew?
One kale sample had high levels of Fenhexamid (0.04 mg/kg) compared to the EU MRLs limit of 0.01mg/kg.
One kale sample had high levels of Fenhexamid (0.04 mg/kg) compared to the EU MRLs limit of 0.01mg/kg.
Lissu, an outspoken critic of Magufuli and the governing CCM party, was shot 16 times in 2017
Tetemeko hilo ni baya zaidi kuwahi kutokea Morocco tangu lile la mwaka 1960 lililouharibu vibaya mji wa Agadir na kusababisha vifo vya watu 12,000.
The entire iPhone 15 lineup is rumored to get the “Dynamic Island” feature — an interactive home for alerts, notifications and various control
Ni dhahiri wazi Waziri wa Usalama wa Kitaifa nchini Kenya Prof. Kithure Kindiki ana azima ya kuleta mabadiliko makubwa katika idara ya uhamiaji iliyopo jumba la Nyayo Jijini Niarobi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemuagiza Naibu wake, Dotto Biteko, kutafuta muarobaini wa changamoto ya uhaba wa mafuta ndani ya siku saba.
”Mmeandika historia kwani hii ni mara yetu ya 3 kufuzu tangu kuanzishwa kwa mashindano haya. Nawatakia kila la kheri.”
Lissu was shot 16 times by unknown people on September 7, 2017, after returning from a parliamentary session in Dodoma
Leo imetimia miaka sita katika historia ya maisha ya mwanasiasa na mwanasheria nguli nchini Tanzania Tundu Lissu, ambaye sasa amepata ulemavu wa kudumu baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana siku kama ya leo Septemba 7,2017 jijini Dodoma kisha kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matibabu
Rais wa mpito wa Gabon Jenerali Brice Oligui sasa ametangaza Ali Bongo yuko ‘huru’ na anaweza kuondoka nchini. Jenerali Oligui amesema hayo katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyosomwa moja kwa moja Jumatano jioni kwenye runinga ya taifa.