• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 13, 2024

Saudi Arabia yaahirisha kunyongwa kwa raia wa Kenya
Crime & Justice Kenya Middle East

Saudi Arabia yaahirisha kunyongwa kwa raia wa Kenya

Kevin SeweMay 13, 2024July 3, 2024

Raia wa kenya anayetarajiwa kunyongwa katika taifa la kiarabu, Saudi Arabia amepata afueni ya dakika za mwisho kufuatia kampeni kubwa ya mitandao ya kijamii.

Melinda Gates kujiuzulu kama mwenyekiti mwenza Bill & Melinda Gates Foundation.
International Lifestyle & Health North America People

Melinda Gates kujiuzulu kama mwenyekiti mwenza Bill & Melinda Gates Foundation.

Kevin SeweMay 13, 2024July 3, 2024

Melinda French Gates amesema atajiuzulu kama mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda Gates Foundation. “Huu sio uamuzi ambao nimekuja kwa…

Ripoti ya mkaguzi mkuu wa Hesabu Zanzibar yaonesha dosari kwenye matumizi ya umma
Business / Finance East Africa Politics Tanzania

Ripoti ya mkaguzi mkuu wa Hesabu Zanzibar yaonesha dosari kwenye matumizi ya umma

Kevin SeweMay 13, 2024July 4, 2024

Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu CAG Zanzibar imebainisha kuendelea kwa vitendo vya ufisadi katika wizara, taasisi na mashirika mbalimbali ya umma.

Makabiliano baina ya jeshi na RSF yazuka upya Sudan
Africa War & Conflicts

Makabiliano baina ya jeshi na RSF yazuka upya Sudan

Wadh KassimMay 13, 2024July 3, 2024

Watu 27 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mapambano mapya kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF mapema wiki hii katika mji wa El-Fasher, Darfu

East Africa hit with widespread internet outages
Africa East Africa Science & Tech

East Africa hit with widespread internet outages

Mwanzo EditorMay 13, 2024July 3, 2024

Tanzania and the French Indian Ocean island of Mayotte were the hardest hit, the internet surveillance group said.

Shule zafunguliwa nchini Kenya kwa Muhula wa Pili
East Africa Education Kenya

Shule zafunguliwa nchini Kenya kwa Muhula wa Pili

Wadh KassimMay 13, 2024July 3, 2024

Taarifa kutoka wizara ya elimu, imesema kuwa asilimia 95 ya shule ziko tayari kuanza tena muhula wa pili, huku hali katika baadhi ya taasisi za masomo katika kaunti saba zikiwa bado zinachunguzwa ili kuhakikisha unaafikia mazingira hitajika ya wanafunzi kutumia.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo