Saudi Arabia yaahirisha kunyongwa kwa raia wa Kenya
Raia wa kenya anayetarajiwa kunyongwa katika taifa la kiarabu, Saudi Arabia amepata afueni ya dakika za mwisho kufuatia kampeni kubwa ya mitandao ya kijamii.
Raia wa kenya anayetarajiwa kunyongwa katika taifa la kiarabu, Saudi Arabia amepata afueni ya dakika za mwisho kufuatia kampeni kubwa ya mitandao ya kijamii.
Melinda French Gates amesema atajiuzulu kama mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda Gates Foundation. “Huu sio uamuzi ambao nimekuja kwa…
Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu CAG Zanzibar imebainisha kuendelea kwa vitendo vya ufisadi katika wizara, taasisi na mashirika mbalimbali ya umma.
Watu 27 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mapambano mapya kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF mapema wiki hii katika mji wa El-Fasher, Darfu
Tanzania and the French Indian Ocean island of Mayotte were the hardest hit, the internet surveillance group said.
Taarifa kutoka wizara ya elimu, imesema kuwa asilimia 95 ya shule ziko tayari kuanza tena muhula wa pili, huku hali katika baadhi ya taasisi za masomo katika kaunti saba zikiwa bado zinachunguzwa ili kuhakikisha unaafikia mazingira hitajika ya wanafunzi kutumia.
Katika nafasi ya pili, bingwa huyo aliweza kufuatiwa kwa karibu na Muingereza Jemma Reekie (1:58.42), Benin Noelie Yarigo wa uingereza (1:58.70) katika nafasi ya tatu, Muethiopia Habitam Alemu (1:59.08) katika nafasi ya nne na bingwa wa dunia mwaka 2019 Halimah Nakaayi kutoka Uganda (1:59.48) akatwaa nafasi ya tano, mtawalia. Mbio hizo ziliwahusisha wanariadha 11.
Dedy Itno amejizolea asilimia 61 za kura huku Succes Masra akijizolea asilimia 18.5, matokeo ambayo upinzani ukiongozwa na mgombea mwenza mkuu, Succes Masra wametofautiana na matokeo hayo.
A former Rugby Sevens international, Ombachi reinvented himself to become a social media star with a global fanbase in just a few years.
Well-crafted local stories are “a major opportunity”, Netflix’s Africa and Middle East content vice president Ben Amadasun told AFP, on the sidelines of the Forbes Under 30 Summit Africa in the Botswanan capital Gaborone this week.