Tundu Lissu: Freedom Is Coming!
”From now, I’m in prison because of the upcoming election; otherwise, this case is over”.
”From now, I’m in prison because of the upcoming election; otherwise, this case is over”.
Upande wa Jamhuri ukiwakilishwa na Wakili Mkuu wa Serikali Renatus Mkude ulisema baada ya kumaliza ushahidi wa shahidi huyo, unakwenda kutafakari maamuzi yaliyotolewa na Mahakama Kuu juu ya mapingamizi mawili ambayo yaliletwa na mshtakiwa kuhusiana na vielelezo ambavyo Mahakama imevikataa.
The party said this deepens fears about his safety and the growing pattern of intimidation against opposition figures ahead of the October 29 general election.
With less than a week to Tanzania’s general election, pressure is mounting over the disappearance of opposition figures and growing silence from President Samia Suluhu Hassan, who continues with her nationwide campaign trail.
The coronation is not about politics or public leadership, but about preserving the sacred traditions that define the home and the family’s place in Luo culture.
Katika pingamizi hilo, Lissu alipinga uwasilishaji wa taarifa hiyo akieleza kuwa shahidi, Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Samwel Elibariki Kaaya hana mamlaka ya kisheria ya kuandaa “report” bali “certificate” pekee ya uchunguzi, kwa mujibu wa tangazo la serikali linalomtambua chini ya kifungu cha 216(1) cha Sheria ya Ushahidi.