Lissu Atumia saa Nane Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri, Akumbushia Kupigwa Risasi na Kukamatwa na Polisi
Lissu pia alitumia sehemu ya mahojiano hayo kumkumbusha shahidi kuhusu historia ya kukamatwa kwake katika vipindi mbalimbali akiwa mwanasiasa na mbunge, pamoja na tukio la kupigwa risasi mwaka 2017.