• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Aidan Eyakuze alivyopigania mabadiliko kupitia Uwazi
Development East Africa

Aidan Eyakuze alivyopigania mabadiliko kupitia Uwazi

Asia GambaJanuary 9, 2025

Aidan Eyakuze ni mtaalamu aliyejitolea katika kupigania mabadiliko ya kijamii kupitia uwazi na ushiriki wa wananchi katika masuala ya kisiasa na utawala. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa OGP, Aidan alikuwa mkurugenzi wa shirika la Twaweza kwa kipindi cha miaka takribani 10

Mzozo wa DRC umewalazimisha zaidi ya watu 100,000 kuhama ndani ya juma moja
East Africa Politics Social Issues

Mzozo wa DRC umewalazimisha zaidi ya watu 100,000 kuhama ndani ya juma moja

Asia GambaJanuary 9, 2025

Wapiganaji wa M23, wanaoungwa mkono na Rwanda, waliteka mji wa Masisi, mji muhimu katika kanda ya madini ya DRC, siku ya Jumamosi.

Mahakama ya Juu ya Msumbiji yasema chama cha tawala kilishinda uchaguzi wa Oktoba.
Africa Politics

Mahakama ya Juu ya Msumbiji yasema chama cha tawala kilishinda uchaguzi wa Oktoba.

Asia GambaDecember 24, 2024December 24, 2024

Mahakama ya Juu nchini Msumbiji ilithibitisha ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa Oktoba uliozozaniwa, baada ya madai ya ulaghai kusababisha machafuko ya mtaani yaliyochukua wiki kadhaa na kusababisha vifo.

Lissu achukua fomu, Sativa amlipia
East Africa Politics Tanzania

Lissu achukua fomu, Sativa amlipia

Asia GambaDecember 17, 2024

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ambaye pia ni Mgombea Uenyekiti wa Chama hicho, amefika Ofisi za Makao Makuu ya Chadema zilizopo Mikocheni jijini Dar es salaam na kuchukua rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo. 

Namibia yamchagua rais wake wa kwanza mwanamke
Africa Politics

Namibia yamchagua rais wake wa kwanza mwanamke

Asia GambaDecember 4, 2024

Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, anakuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hii tajiri kwa madini, ambayo imekuwa ikiongozwa na SWAPO tangu uhuru kutoka Afrika Kusini ya ubaguzi wa rangi mwaka 1990.

East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Rais Samia kuunda tume mbili kuchunguza kinachoendelea Ngorongoro

Asia GambaDecember 2, 2024

Amesema tume moja itachunguza na kutoa mapendekezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro na nyingine itaangalia utekelezaji zoezi zima la uhamiaji kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Polisi:Nondo alitelekezwa kwenye ufukwe wa Coco
East Africa Politics Tanzania

Polisi:Nondo alitelekezwa kwenye ufukwe wa Coco

Asia GambaDecember 2, 2024

Taarifa hiyo ya Polisi iliyotolewa leo Jumatatu, Desemba 2, 2024 na msemaji wake, David Misime imeeleza baada ya kutelekezwa katika fukwe hizo, aliomba msaada wa bodaboda kumfikisha katika ofisi za chama chake Magomeni, Dar es Salaam.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kipimo kwa Rais Samia.
East Africa Politics Tanzania

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kipimo kwa Rais Samia.

Asia GambaNovember 20, 2024

Uchaguzi huu utatoa picha ya hali ya kisiasa nchini Tanzania, hasa kuhusu demokrasia, haki za kisiasa, na uhuru wa vyama vya upinzani.

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne
Development Tanzania

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne

Asia GambaNovember 20, 2024

Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo

Asia GambaNovember 20, 2024

Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo