• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Prof. Sedoyeka atoa utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili
East Africa Social Issues Tanzania

Prof. Sedoyeka atoa utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili

Asia GambaOctober 18, 2024

Sedoyeka anadaiwa kukiuka maadili ya viongozi ya umma kwa kumpandisha cheo mtumishi kwa upendeleo,  kuingilia mchakato wa ununuzi wa viti na meza kampasi ya Babati na uhusiano wa karibu na mtumishi na kufanya uhamisho wa ndani wa mtumishi.

UN yaitaka Tanzania kuchukua hatua za haraka kukabiliana na ukiukwaji wa haki za binadamu kabla ya uchaguzi
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

UN yaitaka Tanzania kuchukua hatua za haraka kukabiliana na ukiukwaji wa haki za binadamu kabla ya uchaguzi

Asia GambaOctober 18, 2024

Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameitaka Tanzania kuacha kuendelea na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wanachama wa vyama vya upinzani, mashirika ya kiraia, waandishi wa habari, watu wa asili na watoa huduma za haki za binadamu.

Majaliwa:Tunajiandaa kurusha satelaiti
East Africa Science & Tech Tanzania

Majaliwa:Tunajiandaa kurusha satelaiti

Asia GambaOctober 18, 2024

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza Mpango mkakati wa miaka mitano 2024/25 – 2029/30 wa Anga za juu utakaoiwezesha Tanzania kurusha satelaiti.

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria
Africa Social Issues

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria

Asia GambaOctober 16, 2024

Wengi wa wahanga walikuwa wakijaribu kukusanya mafuta yaliyomwagika barabarani baada ya tanki hilo kugonga katika jimbo la Jigawa, kaskazini mwa Nigeria.

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji
Africa Politics

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji

Asia GambaOctober 10, 2024

Zaidi ya watu milioni 17 walipiga kura siku ya Jumatano kwa ajili ya uchaguzi wa rais mpya na wabunge katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, ambayo ni miongoni mwa nchi maskini zaidi duniani licha ya kuwa na akiba kubwa ya gesi.

Wasichana Milioni 79 kusini mwa Sahara wamekumbana na ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia:UNICEF
Africa People Social Issues

Wasichana Milioni 79 kusini mwa Sahara wamekumbana na ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia:UNICEF

Asia GambaOctober 10, 2024

Duniani kote, UNICEF inakadiria kwamba unyanyasaji wa kijinsia umewakumba wasichana na wanawake wapatao milioni 370, huku takriban mmoja kati ya watano aliyopo Kusini mwa Sahara akipitia unyanyasaji wa kijinsia au ubakaji kabla ya kufikisha umri wa miaka 18.

Uganda yathibitisha kesi ya Mpox kwenye gereza
Lifestyle & Health People Uganda

Uganda yathibitisha kesi ya Mpox kwenye gereza

Asia GambaOctober 9, 2024

Kesi ishirini na moja za mpox zimeripotiwa katika eneo la Nakasongola kati ya jumla ya kesi arobaini na moja nchini kote kufikia tarehe 7 Oktoba, kulingana na wizara ya afya.

Raia wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais mpya
Africa Politics Social Issues

Raia wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais mpya

Asia GambaOctober 9, 2024

Uchaguzi huu unakuja katikati ya mvutano wa kisiasa katika taifa hilo la kusini mwa Afrika, ambalo linakabiliwa na viwango vya juu vya umasikini na ukosefu wa usawa, huku ghasia za kiusalama kaskazini zikizuia miradi mikubwa ya gesi.

Kabendera akusudia kukata rufaa kesi yake dhidi ya Vodacom
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Kabendera akusudia kukata rufaa kesi yake dhidi ya Vodacom

Asia GambaOctober 2, 2024October 3, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera aliyewakilishwa na Wakili Peter Madeleka alikuwa akiituhumu Vodacom kufanikisha kukamatwa kwake akieleza kama ‘kutekwa’ na hatimaye kufunguliwa kesi hiyo ya uhujumu Uchumi mwaka 2019.

Lissu kuisthaki kampuni ya Tigo na Serikali ya TZ katika Mahakama za Kimataifa kwa kuvujisha taarifa zake
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu kuisthaki kampuni ya Tigo na Serikali ya TZ katika Mahakama za Kimataifa kwa kuvujisha taarifa zake

Asia GambaSeptember 25, 2024

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema anakusudia kuishtaki kampuni ya Tigo na Serikali ya Tanzania katika mahakama ya Uingereza kufuatia kampuni hiyo kushirikiana na Serikali katika kutoa taarifa zake na kumfatilia hadi kusababisha kushambuliwa kwake.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo