Ondoa Mswada wa Fedha na uwaombe Wakenya msamaha – Raila amwambia Ruto
Raila alisema Rais anafaa kuondoa Mswada wa Fedha wa 2023 kwa sababu Wakenya watateseka iwapo utapitishwa. Tayari Mswada huo upo Bungeni ukisubiri uamuzi wa Wabunge
Raila alisema Rais anafaa kuondoa Mswada wa Fedha wa 2023 kwa sababu Wakenya watateseka iwapo utapitishwa. Tayari Mswada huo upo Bungeni ukisubiri uamuzi wa Wabunge
Huku njaa ikionekana kuwa chanzo kikuu cha vifo, baadhi ya wahasiriwa wakiwemo watoto walinyongwa, kupigwa au kuzimwa, kulingana na uchunguzi wa miili iliyofanywa na serikali
Alipokamatwa mwaka wa 2020 karibu na Paris baada ya kukimbia kwa miaka 25, Félicien Kabuga anadaiwa kushiriki katika uundaji wa wanamgambo wa Kihutu
The port of Dar es Salaam is the main commercial gateway of Tanzania. Approximately 95 percent of Tanzania’s international trade is served by this port.
Ujumbe huo uliozinduliwa na Ramaphosa mwezi uliopita unajumuisha marais wa Jamhuri ya Kongo, Misri, Senegal, Afrika Kusini, Uganda na Zambia.
Kundi hilo la watoto sita wana umri wa kati ya miaka sita na 13, na walitoka katika jamii maskini katika mji mkuu wa Kampala
Kundi hilo lenye silaha lilidai kuwa lilifanya mashambulizi ya bomu la kujitoa mhanga mnamo Mei 26 na kuua wanajeshi 137
The 42nd Meeting of the Sectoral Council of Ministers on Trade, Industry, Finance and Investment (SCTIFI) is currently underway at the…
Lengo la msingi la zoezi hilo lilikuwa kupima na kutathmini ufanisi wa taratibu za kukabiliana na dharura za uwanja wa ndege
Ushoga ulihalalishwa nchini Uganda chini ya sheria za kikoloni, lakini haijawahi kuhukumiwa kwa mapenzi ya jinsia moja tangu uhuru kutoka kwa Uingereza mnamo 1962.