• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

CDC: Amerika inaongoza kwa idadi ya visa vya monkeypox
Features International Lifestyle & Health

CDC: Amerika inaongoza kwa idadi ya visa vya monkeypox

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Zaidi ya visa 3,800 vya monkeypox vimeripotiwa nchini Amerika, idadi kubwa zaidi katika nchi yoyote ulimwenguni, data ya afya ya serikali inaonyesha.

Tunisia yaidhinisha katiba mpya baada ya watu wachache kujitokeza kupiga kura
Africa Features People Politics

Tunisia yaidhinisha katiba mpya baada ya watu wachache kujitokeza kupiga kura

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Tunisia imeidhinisha katiba mpya inayotoa mamlaka makuu kwa ofisi ya Rais Kais Saied, bodi ya uchaguzi ilisema, baada ya kura ya maoni iliyokuwa na wapiga kura wachache kuunga mkono katiba hiyo mpya

DR Congo: Askari watatu wa kulinda amani wauawa wakati wa maandamano ya kupinga Umoja wa Mataifa
East Africa Features Politics

DR Congo: Askari watatu wa kulinda amani wauawa wakati wa maandamano ya kupinga Umoja wa Mataifa

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Hasira imechochewa na dhana kwamba MONUSCO, ujumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), unashindwa kufanya vya kutosha kukomesha mashambulizi ya makundi yenye silaha.

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia
East Africa Features People Politics

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Naibu Rais wa Kenya William Ruto alikuwa peke yake kwenye mdahalo wa urais baada ya mpinzani wake mkuu kujiondoa mwishoni mwa juma

Ushelisheli ndio taifa nambari moja barani Afrika kwa uhuru wa vyombo vya habari
Africa Features Politics

Ushelisheli ndio taifa nambari moja barani Afrika kwa uhuru wa vyombo vya habari

Maureen MedzaJuly 26, 2022July 26, 2022

Namibia imepoteza nafasi yake ya kwanza kwenye Fahirisi ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ya 2022 kwa Afrika, ikiibuka katika nambari ya pili.

UN: Takriban watu 471 wamekufa, kujeruhiwa au kutoweka katika ghasia za magenge Haiti
Features International

UN: Takriban watu 471 wamekufa, kujeruhiwa au kutoweka katika ghasia za magenge Haiti

Maureen MedzaJuly 26, 2022July 26, 2022

Magenge ambayo yamekuwa yakiendeleza mauaji bila kuadhibiwa kwa kiasi kikubwa yameweza kufikia vitongoji duni vya mji mkuu wa Haiti, wakitekeleza wimbi la utekaji nyara.

Uganda: Waandamanaji wanaopinga mfumuko wa bei wafyatuliwa vitoza machozi
East Africa Features Politics

Uganda: Waandamanaji wanaopinga mfumuko wa bei wafyatuliwa vitoza machozi

Maureen MedzaJuly 26, 2022July 26, 2022

Polisi nchini Uganda waliwarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji waliokuwa wakiandamana kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta na vyakula vya msingi

Macron awasili Cameroon katika mkondo wa kwanza wa ziara yake Afrika Magharibi
Africa Features People Politics

Macron awasili Cameroon katika mkondo wa kwanza wa ziara yake Afrika Magharibi

Maureen MedzaJuly 26, 2022July 26, 2022

Macron anatazamiwa kufanya mazungumzo Jumanne asubuhi katika ikulu ya rais na mwenzake Paul Biya, 89, ambaye ametawala Cameroon kwa takriban miaka 40.

Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergey Lavrov barani Afrika
Africa Europe Features People Politics

Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergey Lavrov barani Afrika

Maureen MedzaJuly 26, 2022July 26, 2022

Kwa mujibu wa shirika la habari la Urusi TASS, Lavrov anatazamiwa kufanya mazungumzo siku ya Jumanne na Rais wa Uganda Yoweri Museveni.

Kenya yarejelea mauzo ya mirungi Somalia
Business / Finance East Africa Features Politics

Kenya yarejelea mauzo ya mirungi Somalia

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Somalia ilitangaza kupiga marufuku mirungi kutoka Kenya mnamo Machi 2020 huku kukiwa na mzozo wa mpaka wa baharini kati ya majirani hao wawili wa Afrika Mashariki.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo