• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

DR Congo: Makumi ya watu wauawa katika uvamizi kwenye mgodi wa dhahabu
Africa East Africa Features

DR Congo: Makumi ya watu wauawa katika uvamizi kwenye mgodi wa dhahabu

Maureen MedzaMay 9, 2022May 9, 2022

Wavamizi waliwauwa takriban watu 35 akiwemo mtoto mchanga katika shambulio kwenye mgodi wa dhahabu huko Ituri, DR Congo

FAO: Bei za vyakula duniani zimeshuka kutoka rekodi ya juu kutokana na vita vya Ukraine
Development Europe International

FAO: Bei za vyakula duniani zimeshuka kutoka rekodi ya juu kutokana na vita vya Ukraine

Maureen MedzaMay 6, 2022July 2, 2024

Bei ya vyakula duniani ilishuka kidogo mwezi uliopita baada ya kufikia rekodi yake ya juu mwezi Machi lakini imesalia kuwa juu kutokana na vita vya Ukraine

Umoja wa Mataifa watoa wito wa kukomesha vita vya Urusi nchini Ukraine
Europe International War & Conflicts

Umoja wa Mataifa watoa wito wa kukomesha vita vya Urusi nchini Ukraine

Maureen MedzaMay 6, 2022July 2, 2024

UN na mataifa kadhaa yametoa wito kusitisha vita vya Urusi nchini Ukraine, huku kukiwa hakuna uwezekano wa kufufua mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili.

WHO: Janga la UVIKO 19 liliua milioni 13 hadi 17 kati ya 2020-2021
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Janga la UVIKO 19 liliua milioni 13 hadi 17 kati ya 2020-2021

Maureen MedzaMay 5, 2022May 5, 2022

Nchi za kipato cha juu zilichangia asilimia 15 ya vifo,
Mataifa ya kipato cha kati yalichangia vifo asilimia 28; mataifa ya kipato cha chini asilimia 53; na nchi zenye kipato cha chini asilimia nne.

Kenya: Naibu Rais William Ruto ndiye mgombea urais anayependwa zaidi, kulingana na matokeo ya kura ya maoni
Features People Politics

Kenya: Naibu Rais William Ruto ndiye mgombea urais anayependwa zaidi, kulingana na matokeo ya kura ya maoni

Maureen MedzaMay 5, 2022May 5, 2022

Utafiti huo pia ulifichua kuwa wengi wa wafuasi wa Naibu Rais  Ruto ni vijana wenye umri wa miaka 18-35, huku Odinga akiungwa mkono na wazee.

Jezi ya Maradona ya ‘hand of God’ aliyovaa katika Kombe la Dunia yauzwa kwa mnada kwa $9.3 milioni
Entertainment Europe Features Football International People

Jezi ya Maradona ya ‘hand of God’ aliyovaa katika Kombe la Dunia yauzwa kwa mnada kwa $9.3 milioni

Maureen MedzaMay 5, 2022May 5, 2022

Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.

Guinea itamfungulia mashtaka rais wa zamani Alpha Conde
Africa Features People Politics

Guinea itamfungulia mashtaka rais wa zamani Alpha Conde

Maureen MedzaMay 5, 2022May 5, 2022

Conde ni miongoni mwa maafisa wakuu 27 ambao wanakabiliwa na mashtaka ya mauaji, kulingana na hati iliyotolewa na mwendesha mashtaka wa umma Alphonse Charles Wright.

Tunisia: Idadi ya vifo imeongezeka hadi 24 baada ya boti nyingine kuzama
Africa Europe Features

Tunisia: Idadi ya vifo imeongezeka hadi 24 baada ya boti nyingine kuzama

Maureen MedzaMay 4, 2022May 4, 2022

Takriban wahamiaji 2,000 walitoweka au kufariki katika bahari ya Mediterania mwaka jana, kutoka 1,400 mwaka uliopita, kulingana na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji.

UN: Zaidi ya wakimbizi 36,000 wamekimbilia Niger mwaka huu
Africa Features

UN: Zaidi ya wakimbizi 36,000 wamekimbilia Niger mwaka huu

Maureen MedzaMay 4, 2022May 4, 2022

Zaidi ya wakimbizi wapya 36,000 waliwasili Niger kati ya Januari na katikati ya Aprili kufuatia ghasia nchini Mali, Nigeria na Burkina Faso, na kufanya idadi yao kufikia karibu 360,000 UNHCR imesema

Nigeria: Mkuu wa UN atoa wito wa kurejeshwa salama kwa wakimbizi waliotoroka mapigano
Africa Features

Nigeria: Mkuu wa UN atoa wito wa kurejeshwa salama kwa wakimbizi waliotoroka mapigano

Maureen MedzaMay 4, 2022May 4, 2022

Zaidi ya watu 40,000 wameuawa na takriban watu milioni 2.2 wamekimbia makazi yao kutokana na mapigano yaliyodumu kwa muongo mmoja kaskazini mashariki mwa Nigeria

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo