• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Ukame katika Pembe ya Afrika huenda ukawasababishia njaa watu milioni 20
Africa Features

Ukame katika Pembe ya Afrika huenda ukawasababishia njaa watu milioni 20

Maureen MedzaMay 4, 2022May 4, 2022

Umoja wa Mataifa unasema eneo la Pembe ya Afrika unakabiliwa na ukame mbaya zaidi katika miaka 40.

Matamshi huru au ya chuki? Hofu baada ya Elon Musk kuinunua Twitter
Business / Finance Entertainment Features International People

Matamshi huru au ya chuki? Hofu baada ya Elon Musk kuinunua Twitter

Maureen MedzaApril 27, 2022April 27, 2022

Wanaharakati wa kiraia wana wasiwasi kwamba Musk,atawaruhusu watu wenye msimamo mkali waliopigwa marufuku kurudi kwenye jukwaa hilo.

Singapore yamhukumu kifo mtu mwenye ulemavu wa akili licha ya kilio kutoka kwa wanaharakati
Asia International Rights & Freedoms

Singapore yamhukumu kifo mtu mwenye ulemavu wa akili licha ya kilio kutoka kwa wanaharakati

Maureen MedzaApril 27, 2022July 2, 2024

Nagaenthran K. Dharmalingam alikamatwa mwaka wa 2009 kwa kusafirisha kiasi kidogo cha heroini, na alihukumiwa kifo mwaka uliofuata.

Mwandaaji wa shindano la Miss Rwanda ashikiliwa kwa unyanyasaji wa kijinsia
Africa East Africa Features

Mwandaaji wa shindano la Miss Rwanda ashikiliwa kwa unyanyasaji wa kijinsia

Maureen MedzaApril 27, 2022April 27, 2022

Dieudonne Ishimwe, maarufu kama Prince Kid, alitiwa mbaroni kwa tuhuma za “uhalifu unaohusiana na unyanyasaji wa kijinsia,” Ofisi ya Upelelezi ya Rwanda (RIB) ilisema.

Bali kumfurusha mtu aliyecheza uchi kwenye mlima mtakatifu
Arts & Culture Asia

Bali kumfurusha mtu aliyecheza uchi kwenye mlima mtakatifu

Maureen MedzaApril 26, 2022April 26, 2022

Jeffrey Craigen alichapisha video akicheza Haka, akiwa uchi juu ya Mlima Batur, mlima unaochukuliwa kuwa takatifu na Wabalinese wengi.

Waathiriwa wa mlipuko wa mafuta Nigeria kuzikwa kwa pamoja
Africa Features

Waathiriwa wa mlipuko wa mafuta Nigeria kuzikwa kwa pamoja

Maureen MedzaApril 26, 2022April 26, 2022

Mamlaka ya Nigeria Jumatatu ilikusanya maiti za watu zaidi ya 100 waliokufa katika mlipuko uliotokea kwenye kiwanda haramu cha kusafishia mafuta kusini mwa nchi hiyo

Ivory Coast: Tani 2 za Cocaine, yenye thamani ya zaidi ya Milioni 67, yakamatwa
Africa Europe Features

Ivory Coast: Tani 2 za Cocaine, yenye thamani ya zaidi ya Milioni 67, yakamatwa

Maureen MedzaApril 26, 2022April 26, 2022

Kukamatwa kwa kokeini imekuwa jambo la kawaida katika Pwani ya Atlantiki ya Afrika Magharibi,eneo linalotumika kwa usafirishaji wa dawa za kulevya kutoka Amerika Kusini kuelekea Uropa.

Bolt huenda ikasitisha huduma zake Tanzania
Africa Business / Finance

Bolt huenda ikasitisha huduma zake Tanzania

Maureen MedzaApril 26, 2022April 26, 2022

Kampuni hiyo huenda ikasitisha huduma zake kutokana na agizo la hivi karibuni la kutozwa ada ya huduma ya 15%.

Chanel ya YouTube ya Diamond Platnumz yarejeshwa
Arts & Culture East Africa Entertainment People

Chanel ya YouTube ya Diamond Platnumz yarejeshwa

Maureen MedzaApril 26, 2022April 26, 2022

Ni kawaida kwa mtandao wa Youtube kufungia Channel zilizoripotiwa kudukuliwa, Youtube huzifuta channel zilizoripotiwa kudukuliwa hadi wanafanye uhakiki wa mmiliki halali wa channel hiyo.

Bibi arusi, mpishi wakamatwa kwa kutia bangi kwenye chakula cha harusi
Europe Features International Lifestyle & Health

Bibi arusi, mpishi wakamatwa kwa kutia bangi kwenye chakula cha harusi

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Baada ya mgonjwa mmoja kufanyiwa uchunguzi, THC kiungo kikuu cha bangi kinachoathiri akili,kilipatikana kwenye damu yake

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo