• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia
Africa Features Football People Sports

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alianza soka  akiwa na timu ya taifa ya Misri mwaka 2011.

Wanane wafa maji wakikimbia mashambulizi ya magenge katikati mwa Nigeria
Africa Features

Wanane wafa maji wakikimbia mashambulizi ya magenge katikati mwa Nigeria

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Kaskazini-magharibi na katikati mwa Nigeria ni kitovu cha magenge ya wahalifu wenye silaha kali ambao huvamia vijiji, na kuua na kuwateka nyara wakazi baada ya kupora na kuchoma nyumba zao.

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Features Football Sports

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Hili ni Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Mashariki ya Kati na litaanza Novemba 21 na fainali inatarajiwa kufanyika Desemba 18.

Idadi ya waliofariki kutokana na UVIKO-19 nchini Afrika Kusini yafikia 100,000
Africa Features Lifestyle & Health

Idadi ya waliofariki kutokana na UVIKO-19 nchini Afrika Kusini yafikia 100,000

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Afrika Kusini ndio nchi iliyoathiriwa zaidi barani Afrika kutokana na UVIKO 19, ikihesabu zaidi ya visa milioni 3.7 vya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus ikiwa ni zaidi ya asilimia 30

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal
Africa Features Football International Sports

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI
East Africa Features Politics

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa

Faida ya kampuni ya chanjo ya BioNTech iliongezeka pakubwa mwaka wa 2021
Business / Finance Europe Features International Lifestyle & Health Science & Tech

Faida ya kampuni ya chanjo ya BioNTech iliongezeka pakubwa mwaka wa 2021

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Kampuni ya BioNTech iliyoko Mainz ilisema ilipata faida ya jumla ya euro bilioni 10.3 (dola bilioni 11.5) mwaka jana, kutoka euro milioni 15 mnamo 2020

Mwalimu katika shule ya Pakistan auawa kwa ‘kukufuru’ polisi wasema
Asia Middle East

Mwalimu katika shule ya Pakistan auawa kwa ‘kukufuru’ polisi wasema

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Inasemekana jamaa alikuwa ameota kwamba mwanamke aliyekufa “amemkufuru” Mtume Mohammed, maafisa walisema,

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022
Africa Features Football Sports

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo
Africa East Africa Features People Politics

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Wanajeshi wanane waliuawa Jumanne wakati helikopta ya Puma ilipoanguka DR Congo

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo