• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Heineken, Universal Music kati ya kampuni za hivi punde kuondoka Urusi
Europe Features International Politics

Heineken, Universal Music kati ya kampuni za hivi punde kuondoka Urusi

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Kampuni nyingine McDonald’s, Coca-Cola na Starbucks waliondoa biashara zao Urusi

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine
Europe Features International People Politics

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku moja Jumatano katika maeneo ya uokoaji ili kuruhusu raia kutoroka mapigano.

Mkuu wa Umoja wa Mataifa aonya janga la UVIKO 19 bado halijaisha, anakashifu ukosefu wa usawa wa chanjo
Africa Europe Features International Lifestyle & Health

Mkuu wa Umoja wa Mataifa aonya janga la UVIKO 19 bado halijaisha, anakashifu ukosefu wa usawa wa chanjo

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

“Kushindwa kwa usambazaji sawa wa chanjo ni matokeo ya moja kwa moja ya maamuzi ya kisera na kibajeti ambayo yanatanguliza afya ya watu katika nchi tajiri kuliko afya ya watu wa nchi maskini,”alisema Guterres.

Kiongozi mkuu wa upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano
Africa Features People Politics

Kiongozi mkuu wa upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Takriban watu 85 wameuawa na mamia kujeruhiwa na vikosi vya usalama wakati wa miezi minne ya maandamano ya kudai utawala wa kiraia na haki

Mwanawe Rais Museveni atangaza kustaafu katika jeshi la Uganda
East Africa Features People Politics

Mwanawe Rais Museveni atangaza kustaafu katika jeshi la Uganda

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Ingawa Kainerugaba amekanusha mara kwa mara madai kwamba ana nia ya kumrithi babake waangalizi wanaashiria kupanda kwake haraka kupitia safu ya jeshi la Uganda kama thibitisho kwamba alikuwa akiandaliwa kwa ajili ya kazi hiyo ya urais..

Mkuu wa Upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano
Africa Politics

Mkuu wa Upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano

Maureen MedzaMarch 8, 2022July 2, 2024

Sudan yamkamata kiongozi mkuu wa upinzani huku kukiwa na ukandamizaji wa waandamanaji Vikosi vya usalama vya Sudan vilimkamata kiongozi mkuu…

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde
Europe Features People Politics

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.

Watu watano wafariki baada ya jengo kuporomoka
Africa

Watu watano wafariki baada ya jengo kuporomoka

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Jengo hilo la orofa nne liliporomoka usiku wa Jumapili katika wilaya ya Angre, ambako kumeshuhudiwa ujenzi wa majumba mengi ya biashara na makazi katika miaka ya hivi karibuni.

Moderna yaanzisha kituo cha kwanza cha kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 nchini Kenya
East Africa Features Lifestyle & Health

Moderna yaanzisha kituo cha kwanza cha kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 nchini Kenya

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Moderna ilisema ilitarajia kuwekeza dola milioni 500 katika kituo hicho kipya, ambacho kitatoa chanjo kwa bara la watu bilioni 1.3.

Watu wanne wafariki kutokana na homa ya manjano nchini Kenya
Africa Features Lifestyle & Health

Watu wanne wafariki kutokana na homa ya manjano nchini Kenya

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Ugonjwa huo huenezwa na mbu wale wale wanaoneza magonjwa ya Zika na dengue.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo