Amerika: Mtoto wa umri wa miaka 4 ajipiga risasi mamake akijivinjari
Mamake mtoto alikuwa amekiti kiti cha mbele cha gari na mtoto wake kiti cha nyuma alipojipiga risasi
Mamake mtoto alikuwa amekiti kiti cha mbele cha gari na mtoto wake kiti cha nyuma alipojipiga risasi
Burkina Faso imekuwa mwanachama wa tatu wa Jumuiya ya ECOWAS kukumbwa na mapinduzi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita
Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON
Madaktari katika hospitali ya Coast General wanasema mvulana huyo ana jeraha kubwa kwenye figo na majeraha mengine katika sehemu zake za siri.
wakazi wanadai kuwa kasisi amekuwa akipiga kengele za parokia yake zaidi ya mara 200 kwa siku
Mchezaji huyo wa kabumbu Mohamed mwenye umri wa miaka 24, yuko Cameroon na timu ya taifa ya Misri Mafarao
Kiprop, 32, alisimamishwa kushiriki riadha ya kimataifa Aprili 2019 kwa madai ya kutumia dawa ya kuongeza damu ya EPO
Ghasia zilizotokana na mapinduzi zisababisha vifo vya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban milioni 1.5 kukimbia makazi yao.
Kampuni ya kitaifa ya kuzalisha umeme, SNEL, ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari kwamba “radi ilikata nyaya za umeme.”
Tulia Ackson, ambaye amekuwa naibu spika tangu 2015, aliwashinda wagombea wengine wanane wa upinzani.