• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Amerika: Mtoto wa umri wa miaka 4 ajipiga risasi mamake akijivinjari
International Lifestyle & Health

Amerika: Mtoto wa umri wa miaka 4 ajipiga risasi mamake akijivinjari

Maureen MedzaFebruary 4, 2022February 4, 2022

Mamake mtoto alikuwa amekiti kiti cha mbele cha gari na mtoto wake kiti cha nyuma alipojipiga risasi

Jumuiya ya Afrika Magharibi yaamua kutoiwekea Burkina Faso vikwazo vipya
Africa Features People Politics

Jumuiya ya Afrika Magharibi yaamua kutoiwekea Burkina Faso vikwazo vipya

Maureen MedzaFebruary 4, 2022February 4, 2022

Burkina Faso imekuwa mwanachama wa tatu wa Jumuiya ya ECOWAS kukumbwa na mapinduzi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita

Misri yaichabanga Cameroon 3-1 na kutinga fainali ya AFCON
Africa Features Football Middle East Sports

Misri yaichabanga Cameroon 3-1 na kutinga fainali ya AFCON

Maureen MedzaFebruary 4, 2022February 4, 2022

Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON

Kenya: Mwanafunzi acharazwa viboko kwa kula chapati nyingi
East Africa Features Lifestyle & Health

Kenya: Mwanafunzi acharazwa viboko kwa kula chapati nyingi

Maureen MedzaFebruary 3, 2022February 3, 2022

Madaktari katika hospitali ya Coast General wanasema mvulana huyo ana jeraha kubwa kwenye figo na majeraha mengine katika sehemu zake za siri.

Italia: Kasisi atozwa faini kwa kupiga kengela za kanisa ovyoo!
Environment Europe International Lifestyle & Health

Italia: Kasisi atozwa faini kwa kupiga kengela za kanisa ovyoo!

Maureen MedzaFebruary 3, 2022February 3, 2022

wakazi wanadai kuwa kasisi amekuwa akipiga kengele za parokia yake zaidi ya mara 200 kwa siku

Misri: Mvulana mmoja akamatwa kwa kumfanyia mchezaji soka aliyeko Cameroon mtihani
Africa International Middle East People Sports

Misri: Mvulana mmoja akamatwa kwa kumfanyia mchezaji soka aliyeko Cameroon mtihani

Maureen MedzaFebruary 3, 2022February 3, 2022

Mchezaji huyo wa kabumbu Mohamed mwenye umri wa miaka 24, yuko Cameroon na timu ya taifa ya Misri Mafarao

Asbel Kiprop kurudi kwenye riadha baada ya muda wa marufuku kuisha
Africa East Africa People Sports

Asbel Kiprop kurudi kwenye riadha baada ya muda wa marufuku kuisha

Maureen MedzaFebruary 3, 2022February 3, 2022

Kiprop, 32, alisimamishwa kushiriki riadha ya kimataifa Aprili 2019 kwa madai ya kutumia dawa ya kuongeza damu ya EPO

Jeshi la Burkina Faso laondoa marufuku ya kutotoka nje
Africa Features People Politics

Jeshi la Burkina Faso laondoa marufuku ya kutotoka nje

Maureen MedzaFebruary 3, 2022February 3, 2022

Ghasia zilizotokana na mapinduzi zisababisha vifo vya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban milioni 1.5 kukimbia makazi yao.

DR Congo: Watu 26 wafariki baada ya kuangukiwa na nyaya za umeme
Africa East Africa Features

DR Congo: Watu 26 wafariki baada ya kuangukiwa na nyaya za umeme

Maureen MedzaFebruary 3, 2022February 3, 2022

Kampuni ya kitaifa ya kuzalisha umeme, SNEL, ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari kwamba “radi ilikata nyaya za umeme.”

Bunge la Tanzania lamchagua spika mpya baada ya mzozo wa kisiasa
East Africa Features People Politics

Bunge la Tanzania lamchagua spika mpya baada ya mzozo wa kisiasa

Maureen MedzaFebruary 1, 2022February 1, 2022

Tulia Ackson, ambaye amekuwa naibu spika tangu 2015, aliwashinda wagombea wengine wanane wa upinzani.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo