• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Muimbaji wa wimbo ‘In My Maserati’ Olakira, atinga dili na kampuni ya magari Maserati
Africa Arts & Culture Entertainment Europe People

Muimbaji wa wimbo ‘In My Maserati’ Olakira, atinga dili na kampuni ya magari Maserati

Maureen MedzaJanuary 28, 2022January 28, 2022

Kama sehemu ya mpango huo, nyota huyo atapata fursa ya kutumia magari ya Maserati Luxury Cars katika nchi yoyote atakayotembelea

Mwandishi wa Uganda aliyeshutumiwa kuitusi familia ya Rais Yoweri Museveni aachiliwa huru
Africa Arts & Culture East Africa People Politics

Mwandishi wa Uganda aliyeshutumiwa kuitusi familia ya Rais Yoweri Museveni aachiliwa huru

Maureen MedzaJanuary 28, 2022January 28, 2022

Rukirabashaija alishtakiwa Januari 11 kwa “jumbe za kuudhi” kutokana na msururu wa jumbe zake kwenye Twitter kumhusu Museveni na mwanawe Muhoozi Kainerugaba.

Hospitali yakataa kumfanyia mgonjwa upandikazji hadi atakapopata chanjo ya UVIKO 19
International Lifestyle & Health

Hospitali yakataa kumfanyia mgonjwa upandikazji hadi atakapopata chanjo ya UVIKO 19

Maureen MedzaJanuary 27, 2022January 27, 2022

Msemaji wa Hospitali ya Brigham and Women alithibitisha kwamba chanjo dhidi ya coronavirus “inahitajika” kwa wagonjwa wote wanaopandikizwa viungo.

Rais Lazarus Chakwera ataja baraza jipya la mawaziri
Africa People Politics

Rais Lazarus Chakwera ataja baraza jipya la mawaziri

Maureen MedzaJanuary 27, 2022January 27, 2022

Orodha ya uteuzi wa mawaziri 12 iliyotolewa na ofisi yake inajumuisha mawaziri wawili wapya wengine wakiwa waliokuwa wamesimamishwa kazi

Rais wa Burkina Faso aliyeng’olewa madarakani yupo salama, chanzo cha chama kimesema.
Africa Features People Politics

Rais wa Burkina Faso aliyeng’olewa madarakani yupo salama, chanzo cha chama kimesema.

Maureen MedzaJanuary 27, 2022January 27, 2022

Mapinduzi ya hivi karibuni yamesababisha hali ya sintofahamu Afrika Magharibi, ambapo kumekuwa na mapinduzi Mali na Guinea

UN: Watu 32 wauawa katika ghasia za kikabila Sudan Kusini
Africa People Politics

UN: Watu 32 wauawa katika ghasia za kikabila Sudan Kusini

Maureen MedzaJanuary 27, 2022January 27, 2022

Zaidi ya watu 700 waliuawa na wengine kubakwa na kutekwa nyara huko Jonglei kati ya Januari na Agosti 2020

Mwanaume akamatwa kwa kumuua mwanae wa miezi 4
Africa East Africa Gender

Mwanaume akamatwa kwa kumuua mwanae wa miezi 4

Maureen MedzaJanuary 26, 2022January 26, 2022

Mtoto huyo mchanga, ambaye mshukiwa anadai si mwanawe wa kumzaa, alifariki baada ya kuanguka sakafuni.

Tedros ateuliwa kama mgombea pekee kwenye uongozi wa WHO
International Lifestyle & Health

Tedros ateuliwa kama mgombea pekee kwenye uongozi wa WHO

Maureen MedzaJanuary 26, 2022July 2, 2024

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Duniani Tedros Adhanom Ghebreyesus amehakikishiwa muhula wa pili baada ya kura ya kitaratibu Jumanne…

Dhoruba kali yawaua watu 39 huko Madagascar na Msumbiji
Africa East Africa Nature

Dhoruba kali yawaua watu 39 huko Madagascar na Msumbiji

Maureen MedzaJanuary 26, 2022January 26, 2022

Ripoti ya shirika la kudhibiti majanga nchini Madagascar ilionyesha kuwa watu 39 wamefariki na karibu 65,000 wameachwa bila makao

Wanajeshi wa Burkina Faso wakosolewa na mataifa mengine lakini waungwa mkono nchini mwao
Africa Features People Politics

Wanajeshi wa Burkina Faso wakosolewa na mataifa mengine lakini waungwa mkono nchini mwao

Maureen MedzaJanuary 26, 2022January 26, 2022

Mamia ya watu walikusanyika katika uwanja wa Nation Square kusheherekea kung’olewa madarakani kwa Rais Kabore

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo