Muimbaji wa wimbo ‘In My Maserati’ Olakira, atinga dili na kampuni ya magari Maserati
Kama sehemu ya mpango huo, nyota huyo atapata fursa ya kutumia magari ya Maserati Luxury Cars katika nchi yoyote atakayotembelea
Kama sehemu ya mpango huo, nyota huyo atapata fursa ya kutumia magari ya Maserati Luxury Cars katika nchi yoyote atakayotembelea
Rukirabashaija alishtakiwa Januari 11 kwa “jumbe za kuudhi” kutokana na msururu wa jumbe zake kwenye Twitter kumhusu Museveni na mwanawe Muhoozi Kainerugaba.
Msemaji wa Hospitali ya Brigham and Women alithibitisha kwamba chanjo dhidi ya coronavirus “inahitajika” kwa wagonjwa wote wanaopandikizwa viungo.
Orodha ya uteuzi wa mawaziri 12 iliyotolewa na ofisi yake inajumuisha mawaziri wawili wapya wengine wakiwa waliokuwa wamesimamishwa kazi
Mapinduzi ya hivi karibuni yamesababisha hali ya sintofahamu Afrika Magharibi, ambapo kumekuwa na mapinduzi Mali na Guinea
Zaidi ya watu 700 waliuawa na wengine kubakwa na kutekwa nyara huko Jonglei kati ya Januari na Agosti 2020
Mtoto huyo mchanga, ambaye mshukiwa anadai si mwanawe wa kumzaa, alifariki baada ya kuanguka sakafuni.
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Duniani Tedros Adhanom Ghebreyesus amehakikishiwa muhula wa pili baada ya kura ya kitaratibu Jumanne…
Ripoti ya shirika la kudhibiti majanga nchini Madagascar ilionyesha kuwa watu 39 wamefariki na karibu 65,000 wameachwa bila makao
Mamia ya watu walikusanyika katika uwanja wa Nation Square kusheherekea kung’olewa madarakani kwa Rais Kabore