Three killed in Austria Alps avalanches: police
The entire Alpine range has had one of its deadliest winter seasons in many years amid heavy snowfall and rain.
The entire Alpine range has had one of its deadliest winter seasons in many years amid heavy snowfall and rain.
Shahidi huyo mkazi wa Arusha mwenye umri wa miaka 26 amekiri kutokuwepo kwa baadhi ya maelezo ya ushahidi wake ambapo katika ushahidi aliousema Mahakamani leo, baadhi ya maelezo hakuandika katika maelezo yake ya Polisi.
Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.
Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo
A conservative media critic picked by President Donald Trump to be US ambassador to South Africa has arrived to take up his post, the US embassy said Tuesday, with bilateral relations fractured over a range of issues.
Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia
Dubai’s DP World named a new chairman and chief executive officer on Friday, replacing its former leader Sultan Ahmed bin Sulayem, after the Epstein files revealed frequent correspondence between him and the convicted sex offender.
Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.
He was part of a group visiting Chad for the International Festival of Saharan Cultures in the city of Amdjarass, about 100 kilometres (60 miles) from the Sudan border.
The firm’s general counsel Kathryn Ruemmler had courted intense scrutiny after the Department of Justice dumped emails in recent weeks that showed her extensive relationship with the disgraced financier.