Rais Samia awaonya Wanaharakati, asema Tanzania haitasita kutumia nguvu kuhami raia wake
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaharakati wote wanaojihusisha na shughuli za kuchochea vurugu nchini akisema kuwa wanachofanya ni ugaidi huku akienda mbali zaidi kwa kutafsiri neno Ugaidi.