UK cancels military training in Kenya over permit dispute
Britain has cancelled one of its annual military trainings in Kenya after failing to obtain a licence from the government, its defence ministry said on Thursday.
Britain has cancelled one of its annual military trainings in Kenya after failing to obtain a licence from the government, its defence ministry said on Thursday.
A South African court ruled on Friday in favour of President Cyril Ramaphosa’s bid to pause impeachment proceedings against him over a scandal involving half-a-million dollars stashed in a sofa at his ranch.
Washtakiwa 23 ambao ni viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrsia na Maendeleo Chadema Jijini Mwanza wamepandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu ya Mwanza kwa kosa la kupanga kufanya vitendo vya kigaidi.
More than 160,000 foreign nationals have left the country and several have died over the past two months as local groups increased violent hostility against undocumented migrants, putting Pretoria’s relations with other African governments under strain.
Shahidi wa nne katika kesi ya Kikatiba ambaye ni Mkuu wa Gereza la Ukonga Edward Shabani amesema hafahamu wala hajui kwamba Tundu Lissu ni Wakili kitaaluma na aliwahi pia kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika(TLS).
In one of the most emotional exchanges in court, a witness said he could not allow some of the leaders named by Lissu to visit him until the case was over.
Shahidi wa nne, Endrew Shabani Kamanyiro, mwenye umri wa miaka 57 na Mkristo kwa dini, alijitambulisha kuwa Mkuu wa Gereza Kuu la Ukonga. Katika ushahidi wake, alikiri kuwa ndiye mwenye mamlaka ya kusimamia shughuli zote za gereza hilo na kuwajibika kwa Kamishna Mkuu wa Magereza katika utekelezaji wa sheria, kanuni na usimamizi wa wafungwa.
Kenyan lawyers staged a nationwide boycott of court proceedings on Wednesday to protest judicial corruption and chronic delays.
Kwa miongo kadhaa, Kenya imekuwa ikitajwa kama moja ya nchi salama zaidi kwa wanasiasa wa upinzani, wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kutoka nchi jirani za Afrika Mashariki. Wanaokimbia vitisho, kukamatwa au mashitaka ya kisiasa kutoka Tanzania, Uganda, Sudan Kusini, Ethiopia na hata Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mara nyingi huelekea Nairobi wakiamini watapata usalama na nafasi ya kuendelea na shughuli zao.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuendelea kuchangia chama na Baraza Kuu, wakati akiwasili katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, ambako usikilizwaji wa shauri la kikatiba namba 7300/2026 unaendelea leo.