Uganda and DR Congo agree on visa-free travel
Uganda and the Democratic Republic of Congo have agreed to mutually abolish visa requirements to allow visa-free travel between each country.
Uganda and the Democratic Republic of Congo have agreed to mutually abolish visa requirements to allow visa-free travel between each country.
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeishutumu Rwanda kwa kutumia mbinu za ukandamizaji kuwalenga wakosoaji wake nje ya nchi, wakiwemo wale ambao wametafuta ulinzi wa kimataifa
Mwakinyo amepewa adhabu hiyo baada kugomea kupanda ulingoni September 29, 2023 katika pambano lake dhidi ya Julius Indonga kutokea Namibia kwa madai ya Promota kukiuka baadhi ya makubaliano yao..
Hamas spokesperson KhalednQadomi has told Al Jazeera that the group’s military operation is in response to all the atrocities the Palestinians have faced over the decades.
Benki ya Dunia pia imetangaza kuwa itaunda kiti cha tatu cha mataifa ya Afrika katika bodi yake yenyewe, uamuzi utakaofanywa rasmi katika mikutano ya Oktoba 9-15 huko Marrakesh
Ghana – once touted as a trailblazing African economic success story – is facing an unprecedented financial crisis. This week,…
Polisi walikanusha kuwa Wine alikamatwa, wakisema “walimsindikiza” kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe hadi nyumbani kwake
Fred Leparan, who worked at Nairobi’s Mama Lucy Kibaki hospital, was filmed accepting $2,500 (£2,000) to sell a baby boy under the hospital’s care.
Chama cha Demokrasia na Mendeleo CHADEMA, kimesema kimepokea barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania ikiwataka wajieleze kuhusu kutengeneza maudhui yanayotajwa kuwa yanamdhalilisha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassani.
In 2021, Netflix has allowed users in the East African country to access a limited selection of content without paying for a subscription. This was an attempt to tap into Kenya’s growing streaming market.