Tina Turner sells music catalog spanning 60 years to BMG
“Like any artist, the protection of my life’s work, my musical inheritance, is something personal,” Tina Turner said in a statement.
“Like any artist, the protection of my life’s work, my musical inheritance, is something personal,” Tina Turner said in a statement.
Filamu za James Bond zinatokana na vitabu vilivyoandikwa na Ian Fleming, mwandishi kutoka Uingereza aliyeandika vitabu hivyo hadi mwaka 1953.Nyota wa vitabu hivyo James Bond akiwa ni jasusi anayejulikana kwa jina “007”
Mjukuu wake Zere Natabay, anasema anarekodi za kanisa, ikiwemo cheti chake cha kuzaliwa kinachoonesha kuwa alizaliwa mwaka wa 1894, pamoja na mwaka aliobatizwa ikithibitisha aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 127.
“He (Diamond) is living a lie and everyone believes it”
Kulingana na data, takriban visa 5,375 vya mimba za utotoni viliripotiwa katika wilaya ya Kwania kati ya Januari 2020 hadi Septemba 2021.
Kenya’s National carrier Kenya Airways (KQ) has signed an agreement with South Africa Airways (SAA) to boost passenger traffic, cargo opportunities and general trade.
Mipango yakuanzisha mtandao wa Instagram hususan kwa watoto waliochini ya umri wa miaka 13 kwa jina Instagram Kids umesitishwa kwa sasa.
Nyota wa muziki kutoka Marekani,Robert Kelly maarufu R.Kelly amepatikana na hatia ya kutumia umaarufu wake katika kuongoza mradi wa unyanyasaji wa ngono dhidi ya wanawake na watoto kwa takriban miaka 30.
Burna Boy alishinda tuzo ya “Best World Music Album” mwaka wa 2021 katika tuzo za 63 Annual Grammy Awards
Somalia’s National Theatre hosts its first screening in 30 years