Sean Combs Sues NBC For $100 Million For Defamation
The lawsuit claims that the documentary falsely portrays Combs as a criminal, alleging he committed numerous heinous crimes, including serial murder, rape of minors, and sex trafficking of minors.
The lawsuit claims that the documentary falsely portrays Combs as a criminal, alleging he committed numerous heinous crimes, including serial murder, rape of minors, and sex trafficking of minors.
The country scored 32 out of 100, showing a slight improvement from 31 points in 2023. However, this score is still below both the Sub-Saharan African average of 33 points and the global average of 43 points.
Afisa mkuu wa fedha wa Uganda, Lawrence Semakula, pamoja na wengine wanane, wamefunguliwa mashtaka ya udanganyifu na utakatishaji fedha kufuatia wizi wa karibu dola milioni 16 za Marekani zilizokuwa zimekusudiwa kulipia mikopo ya maendeleo, kulingana na nyaraka za mahakama.
Hii leo inatajwa kwa ajili ya kuangaliwa iwapo upelelezi wa kesi umekamilika, ingawa imefungwa mikono kuendelea na hatua zaidi baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini kuwasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kupatikana kwa dhamana ya mshtakiwa kutokana na kuangalia uhalali wa kesi ya jinai kwa haraka.
Besigye was once President Yoweri Museveni’s trusted personal physician but has become a government target since joining the opposition 25 years ago and unsuccessfully running for president four times.
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…
Salwan Momika aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake huko Södertälje, karibu na Stockholm, wakati akifanya matangazo ya moja kwa moja.
An Iraqi refugee in Sweden who repeatedly burned the Koran in 2023, sparking outrage in Muslim countries, has been shot dead, investigators said Thursday, with Sweden’s prime minister suggesting a “foreign power” might have been involved.
Waasi wa kundi la M23 wameingia kwenye kitovu cha mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, masaa kadhaa baada ya kutangaza kutwaa udhibiti wa mji huo muhimu.
Karibu wanawake 200 wa Kenya waliuawa katika visa vya ukatili wa kijinsia mwaka 2024, ikiwa ni mara mbili ya idadi ya mwaka uliopita, kulingana na taarifa kutoka kwa vikundi vinavyofuatilia hali hiyo.