Rais Samia shtakiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu kwa Madai ya Uhalifu Dhidi ya Ubinadamu
Mwasilishaji wa ombi hilo, wakili Juan Carlos Gutierrez, anayewakilisha waathiriwa, anadai kwamba Rais Samia Suluhu Hassan, kama Amiri Jeshi Mkuu, anabeba jukumu la mwisho kwa madai hayo, akisema aliidhinisha moja kwa moja matumizi ya nguvu dhidi ya raia.