NBS yaanza utekelezaji wa tafiti zitakazokusanya taarifa muhimu za biashara
Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kutekeleza tafiti mbalimbali zenye lengo la kukusanya taarifa muhimu kuhusu shughuli za biashara katika sekta rasmi na isiyo rasmi, pamoja na uzalishaji viwandani nchini.