UK cancels military training in Kenya over permit dispute
Britain has cancelled one of its annual military trainings in Kenya after failing to obtain a licence from the government, its defence ministry said on Thursday.
Britain has cancelled one of its annual military trainings in Kenya after failing to obtain a licence from the government, its defence ministry said on Thursday.
Washtakiwa 23 ambao ni viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrsia na Maendeleo Chadema Jijini Mwanza wamepandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu ya Mwanza kwa kosa la kupanga kufanya vitendo vya kigaidi.
Shahidi wa nne katika kesi ya Kikatiba ambaye ni Mkuu wa Gereza la Ukonga Edward Shabani amesema hafahamu wala hajui kwamba Tundu Lissu ni Wakili kitaaluma na aliwahi pia kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika(TLS).
In one of the most emotional exchanges in court, a witness said he could not allow some of the leaders named by Lissu to visit him until the case was over.
Shahidi wa nne, Endrew Shabani Kamanyiro, mwenye umri wa miaka 57 na Mkristo kwa dini, alijitambulisha kuwa Mkuu wa Gereza Kuu la Ukonga. Katika ushahidi wake, alikiri kuwa ndiye mwenye mamlaka ya kusimamia shughuli zote za gereza hilo na kuwajibika kwa Kamishna Mkuu wa Magereza katika utekelezaji wa sheria, kanuni na usimamizi wa wafungwa.
Kenyan lawyers staged a nationwide boycott of court proceedings on Wednesday to protest judicial corruption and chronic delays.
The meeting was held at Matiang’i’s office in Karen, Nairobi, on Wednesday, July 22, 2026.
President Dr. William Ruto has defended Kenya’s democratic credentials while calling for responsible use of social media.
Kwa miongo kadhaa, Kenya imekuwa ikitajwa kama moja ya nchi salama zaidi kwa wanasiasa wa upinzani, wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kutoka nchi jirani za Afrika Mashariki. Wanaokimbia vitisho, kukamatwa au mashitaka ya kisiasa kutoka Tanzania, Uganda, Sudan Kusini, Ethiopia na hata Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mara nyingi huelekea Nairobi wakiamini watapata usalama na nafasi ya kuendelea na shughuli zao.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuendelea kuchangia chama na Baraza Kuu, wakati akiwasili katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, ambako usikilizwaji wa shauri la kikatiba namba 7300/2026 unaendelea leo.