Tundu Lissu ailalamikia Mahakama, ni kuhusu watu wake kuzuia na kufukuzwa nchini
Katika maelezo yake mbele ya jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dastun Ndunguru, Lissu alisema kuwa baadhi ya watu waliokuwa tayari kushiriki katika kusikiliza kesi hiyo, wakiwemo raia wa kigeni, walifukuzwa nchini na kurudishwa nchini mwao.