Kenya yazindua mradi wa reli ya kisasa kutoka Naivasha hadi Malaba
Kenya inaanzisha upya upanuzi wa reli yenye thamani ya mabilioni ya Dola ambao ulifadhiliwa kupitia uwekaji wa mapato na hapo kufufua mradi ambao umekwama kwa zaidi ya miaka sita.
Kenya inaanzisha upya upanuzi wa reli yenye thamani ya mabilioni ya Dola ambao ulifadhiliwa kupitia uwekaji wa mapato na hapo kufufua mradi ambao umekwama kwa zaidi ya miaka sita.
The World Bank said the sanction follows findings of fraudulent and collusive practices connected to consultancy work under the Eastern Electricity Highway Project, which is part of the Eastern Africa Power Integration Program.
Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kutekeleza tafiti mbalimbali zenye lengo la kukusanya taarifa muhimu kuhusu shughuli za biashara katika sekta rasmi na isiyo rasmi, pamoja na uzalishaji viwandani nchini.
Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.
In a video message shared online, Wine said he had left Uganda to handle what he described as critical engagements abroad and promised to return.
Bobi Wine amesema Jumamosi kwamba ameikimbia nchi kuepuka msako wa jeshi baada ya Uchaguzi wa urais wa January 15, 2026.
The issue came to the spotlight after reports that some Kenyans were recruited into Russia’s war in Ukraine, with some allegedly lured by promises of civilian jobs.
Kwa mujibu wa uamuzi huo, taasisi na mabaraza mbalimbali ya Kiislamu sasa yanaweza kuendesha shughuli zao na kuchagua viongozi wao bila kulazimishwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja.
According to him, the future of the media group lies in expanding its reach, especially among younger audiences and emerging businesses.
Rostam Abdulrasul Azizi was born on August 21, 196O, in the Igunga District of Tabora Region, Tanzania. He grew up…