Tundu Lissu Wins Objection Against Supplementary Evidence In Treason Case
Lissu countered that admitting the notice would open a “Pandora’s box” of issues beyond the charge sheet, including politically sensitive events of October 29, 2025.
Lissu countered that admitting the notice would open a “Pandora’s box” of issues beyond the charge sheet, including politically sensitive events of October 29, 2025.
Lissu alipinga vikali hatua hiyo, akisema Notice hiyo haina msingi wa kisheria na kusema kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya yaani shahidi ambaye maelezo yake hayakusomwa wakati wa Committal.
In a statement addressed to the 39th Ordinary Session of the AU Assembly, the party accuses the government of deliberately stifling opposition, suppressing independent media, and criminalizing dissent, culminating in the detention of its Chairman, Tundu Lissu.
Shahidi huyo alidai kuwa kuna wanachama au wafuasi wa CHADEMA wanaofahamu kuwa anakuja kutoa ushahidi na kwamba walimtishia kwa kumwambia kuwa “lolote baya linaweza kumkuta.”
Shahidi huyo alisisitiza kuwa kwa ufahamu wake kuzuia uchaguzi ni kosa.Aidha, alipoulizwa kuhusu shtaka la Uhaini linalomkabili Lissu, shahidi alisema anafahamu Lissu anashtakiwa kwa Uhaini lakini alikiri hafahamu vipengele vyote vya shtaka hilo zaidi ya madai ya kauli zinazohusiana na uchaguzi.
Kenya will roll out a groundbreaking new HIV-prevention drug in March across 15 priority regions, the health ministry said on Wednesday.
Shahidi huyo mkazi wa Arusha mwenye umri wa miaka 26 amekiri kutokuwepo kwa baadhi ya maelezo ya ushahidi wake ambapo katika ushahidi aliousema Mahakamani leo, baadhi ya maelezo hakuandika katika maelezo yake ya Polisi.
Kenyan activist Boniface Mwangi said on Wednesday that he fears for his life after authorities installed spyware on his phone during his arrest last year.
Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.
Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo