Kenya private hospitals suspend SHA services over unpaid NHIF arrears
The ongoing system glitches and mounting arrears have led to staff losses in many health facilities.
The ongoing system glitches and mounting arrears have led to staff losses in many health facilities.
Besigye’s political journey has been marked by arrests, court battles, and relentless pursuit of democratic change.
Waziri Jane Ruth Aceng amesema kuwa wagonjwa hao wanane walikuwa wakitibiwa na sasa wamepona kikamilifu.
Eight patients treated for Ebola in Uganda have recovered, the country’s health minister said on Wednesday, declaring the country’s latest outbreak of the deadly disease “contained”.
Sudan’s foreign ministry, loyal to army chief Abdel Fattah al-Burhan, condemned Kenya for allowing the event to be held on its soil.
Besigye ambaye amesusia chakula tangu wiki iliopita alionekana kudhoofika huku akiandamana na mshtakiwa mwenzake Haji Obeid Lutale.
Makundi hayo yalitangaza mipango ya maandamano ya amani tarehe 21 Februari 2025, kuandamana hadi Ubalozi wa Uganda na Bunge la Kitaifa la Kenya
The groups announced plans for a peaceful protest on February 21st 2025, marching to the Ugandan High Commission and Kenya’s National Assembly
Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa kuanzia mwaka huu, wanahabari nchini Tanzania watatolewa kadi za habari za kidijitali kama sehemu ya mpango wa serikali wa kuboresha sekta ya habari.
Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.