Anti-Trafficking Network Warns Ruto Directive on Foreign Traders Could Fuel More Exploitations
Nairobi, Kenya – The Network Against Human Trafficking and Smuggling of Migrants (NAHUSOM) has called on the Government of…
Nairobi, Kenya – The Network Against Human Trafficking and Smuggling of Migrants (NAHUSOM) has called on the Government of…
The fourth defence witness in the treason case facing CHADEMA Chairman Tundu Lissu, Brenda Rupia, has concluded her testimony after extensive cross-examination by the prosecution over Lissu’s speech of April 3, 2025.
Rupia pia alikiri kuwa CHADEMA inaamini katika demokrasia na kwamba Tanzania ina mfumo wa vyama vingi, huku akitambua kuwa uchaguzi mkuu unaendeshwa kwa mujibu wa Katiba na mabadiliko ya Katiba ni mchakato.
CNN International’s acclaimed series African Voices returns with a special edition of My Drive, featuring celebrated Kenyan broadcaster Maina Kageni.
In a school for the deaf in Kenya, children signed their excitement as a team demonstrated how a robotic arm could revolutionise their studies.
Brenda pia alikataa kwamba Chadema ilisusia uchaguzi wa mwaka 2025, akieleza kuwa kauli ya “No Reforms, No Elections” ililenga kushinikiza mabadiliko katika mfumo wa uchaguzi.
Kenya warned foreign workers they had 90 days to regularise their status as it sought to backtrack from a panic triggered by President William Ruto’s order to close immigrant-owned small businesses.
Brenda amedai kuwa katika maneno hayo hakuna yaliyotaja Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Rais wa Jamhuri ya Muungano, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Waziri, Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa au kiongozi mwingine wa Serikali.
Hundreds of Burundians living in Kenya flocked to their embassy in Nairobi on Monday seeking travel documents to leave the country, days after President William Ruto ordered the closure of small businesses run by foreigners.
Rupia alisema uamuzi wa kuitisha mkutano huo ulifanywa na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, pamoja na Sekretarieti ya chama.
Alifafanua kuwa Sekretarieti ni chombo cha utekelezaji kinachoshughulikia shughuli za chama kila siku, kikijumuisha Katibu Mkuu, manaibu wake wawili pamoja na wakurugenzi wa chama.