President Ruto Condemns Abductions Saying They Pose Threat To Lives
President William Ruto has condemned abductions reiterating that they pose a significant threat to the lives and liberty of citizens.
President William Ruto has condemned abductions reiterating that they pose a significant threat to the lives and liberty of citizens.
The current force is under-staffed and under-equipped as it takes on Haiti’s powerful, well-armed gangs, and shifting to a formal UN mission would provide more money, personnel and logistical support, said Dorothy Shea, the deputy US ambassador to the United Nations.
Besigye, 68, was brought to the General Court Martial in handcuffs and under a heavily armed military escort, his lawyer Erias Lukwago told AFP.
Uchaguzi huu utatoa picha ya hali ya kisiasa nchini Tanzania, hasa kuhusu demokrasia, haki za kisiasa, na uhuru wa vyama vya upinzani.
Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.
Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimeilalamikia mamlaka nchini humo kwamba wagombea wake wengi wamekataliwa “kwa njia isiyo ya haki” kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo.
Mamlaka ya Uganda, ambayo ilisema kuwa zinachunguza taarifa za kupotea kwa Besigye, zimekuwa zikifanya ukandamizaji dhidi ya upinzani katika miezi ya hivi karibuni, kwa kuwakamata viongozi mashuhuri na kuwashtaki wanachama wa vyama vya upinzani.
Africa accounted for about 95 percent of the 249 million malaria cases and 608,000 deaths worldwide in 2022, according to the most recent data from the World Health Organization (WHO), which said children under five accounted for 80 percent of deaths in the region.
Meg Whitman resigned as the US Ambassador to Kenya following the recent US presidential election, where Donald Trump was elected as the 47th President of the United States.