Kenya’s President William Ruto nominates new deputy after impeachment
Kindiki has served as interior minister in Ruto’s government for more than two years
Kindiki has served as interior minister in Ruto’s government for more than two years
Sedoyeka anadaiwa kukiuka maadili ya viongozi ya umma kwa kumpandisha cheo mtumishi kwa upendeleo, kuingilia mchakato wa ununuzi wa viti na meza kampasi ya Babati na uhusiano wa karibu na mtumishi na kufanya uhamisho wa ndani wa mtumishi.
Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameitaka Tanzania kuacha kuendelea na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wanachama wa vyama vya upinzani, mashirika ya kiraia, waandishi wa habari, watu wa asili na watoa huduma za haki za binadamu.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza Mpango mkakati wa miaka mitano 2024/25 – 2029/30 wa Anga za juu utakaoiwezesha Tanzania kurusha satelaiti.
The impeachment process began after the National Assembly voted on October 9 to impeach Gachagua on 11 charges, including corruption, abuse of office, and undermining the government
Deputy Chief Justice, Philomena Mwilu highlighted that the impeachment process is a constitutional procedure and will be handled accordingly, ensuring that all legal and constitutional requirements are met
The impeachment trial of Kenya’s Deputy President Rigathi Gachagua was thrown into disarray on Thursday after his lawyer said he…
In their defence, the DCI said they were unable to trace the money, but the EACC had succeeded. DCI Deputy Director of Investigations Paul Wachira wrote to Ingonga on September 19, indicating their intent to withdraw the charges against Mandago, Meshack Rono, Joseph Kipkemboi Maritim, and Joshua Lelei.
katika vituo mbalimbali changamoto kuu ni kutokuwepo kwa hamasa kubwa ya wananchi kujiandikisha pamoja na kuhamishwa kwa daftari la uandikishaji
According to Human Rights Watch, Since June the authorities have arbitrarily arrested hundreds of opposition supporters, imposed restrictions on social media access, banned independent media, and have been implicated in the abduction and extrajudicial killing of at least eight government critics.