Dodoma Police Commander Transferred After Controversial Remarks About Rape Victim
The transfer comes shortly after her controversial comments regarding a gang rape case, where she referred to the victim as a “sex worker.”
The transfer comes shortly after her controversial comments regarding a gang rape case, where she referred to the victim as a “sex worker.”
Uhamisho wa RPC Mallya umekuja saa chache baada ya kauli yake juu ya binti aleyebakwa na kulawitiwa na vijana watano wanaodaiwa kutumwa na afande kufanya tukio hilo.
In the past four years, the Tanzanian government has suspended all social services, including healthcare and education, in the Ngorongoro area to pressure the Maasai to vacate their land
Msururu wa magari ya watalii yameshuhuduwa kukwama kuendelea na safari zao kufuatia maandamano ya Wamaasai yanayoendelea katika eneo la Ngorongoro yaliyoanza mapema leo asubuhi.
Wamasai waishio Ngorongoro kwa muda mrefu wamekuwa wakikabiliwa na vizuizi vya huduma za kijamii, unyanyasaji wa kimwili na serikali, ukiukwaji wa haki za ardhi, kukataliwa kuandikishwa kama wapiga kura na kutakiwa kuhama na kadi za kupita katika ardhi yao wenyewe.
Six more bodies, including those of two children, have been retrieved on Wednesday from the site of a massive garbage…
Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, ametangaza virusi vya Mpox kuwa ni dharura ya afya ya umma duniani kutokana na kuongezeka kwa maambukizi yake barani Afrika.
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umesema umeshtushwa” na ripoti kwamba polisi wa Tanzania walitumia nguvu kupita kiasi walipowakusanya wanachama kadhaa wa upinzani kutokana na maandamano ya vijana yaliyopigwa marufuku wiki hii.
Prime suspect in the Shakahola massacre, Pastor Paul Mackenzie, is accused of twisting biblical teachings to force his followers into severe fasting, which resulted in mass fatalities, according to witnesses testifying against him.
Tanzania’s main opposition party Chadema has strongly condemned the government for brutalizing, torturing, and imprisoning their National Leaders. Chadema Leaders,…