Mahakama Kuu Yakataa Pingamizi La Jamhuri Katika Kesi Ya Uhaini Ya Tundu Lissu
Mawakili wa Jamhuri walidai kuwa mshtakiwa hakufuata taratibu za kisheria katika kuwasilisha ombi hilo la kupokea kielelezo hicho kama ushahidi.
All news and updates from Tanzania
Mawakili wa Jamhuri walidai kuwa mshtakiwa hakufuata taratibu za kisheria katika kuwasilisha ombi hilo la kupokea kielelezo hicho kama ushahidi.
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeridhia maombi ya mawakili wa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kuwasilisha kiapo cha ziada katika shauri la maombi ya kutekwa kwa utaratibu wa kisheria (Habeas Corpus).
Shahidi wa kwanza alihitimisha ushahidi wake leo baada ya kuhojiwa kwa maswali ya nyongeza na jopo la mawakili wa Serikali
The measure will take effect on October 23, 2025, and will require applicants for B-1 (business) and B-2 (tourist) visas to post a refundable bond of up to US$15,000.
Katika mahojiano hayo, Lissu alitumia takribani saa saba kumuhoji Shahidi huyo kuanzia majira ya saa 3:30 mpaka saa 10, muda wote aliutumia kupima uhalali wa ushahidi wa shahidi huyo, akihusisha masuala mbalimbali kulinga na ushahidi aliouandika katika maelezo yake ikiwamo ya taratibu za kiuchunguzi, matumizi ya notebook ya polisi, video za ushahidi na tafsiri ya maneno yaliyotumika kwenye mashtaka ya uhaini.
Tanzanian authorities must immediately disclose the fate and whereabouts of a former Tanzanian ambassador to Cuba, Humphrey Polepole, who may have been forcibly disappeared.
Humphrey’s mother added that it is painful to see a country once guided by the late Mwalimu Nyerere’s values turn into a place where citizens can disappear without trace
Lissu: Waeleze majaji kwamba mtu anaetoa maudhui ya Uchochezi ni kosa la Uhaini. Je maudhui yenye Uchochezi kwa umma ni kosa la Uhaini au sio
Shahidi :Ni kosa la Uhaini
Polepole’s legal team has also written to the United Nations Special Rapporteur on Human Rights, requesting immediate intervention and arbitration in Polepole’s human rights case.
The incident has sparked concern about the safety of government critics and the protection of human rights in Tanzania, with many calling for a swift and transparent investigation.