Lissu, Semu, Sifuna na Viongozi Wengine wa Kisiasa Wazuiwa Kuingia Angola
Viongozi hao walizuiwa kuingia nchini bila maelezo yoyote kutoka kwa mamlaka za Angola.
All news and updates from Tanzania
Viongozi hao walizuiwa kuingia nchini bila maelezo yoyote kutoka kwa mamlaka za Angola.
The incident raises diplomatic and political concerns, particularly as many of those denied entry are opposition leaders in their respective countries.
CAF imefikia hatua hiyo baada ya kuufungia kwa muda Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam kutokana na eneo la kuchezea (pitch) kuendelea kupungua ubora wake.
Prof. Sarungi’s passing marks the end of an era, but his legacy will continue to inspire future generations
Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.
Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.
Prof. Sarungi will be remembered for his contributions to Tanzania’s healthcare, education, and governance.
The move is part of a project that will see the East African nation receive a total of 36 white rhinos, which have been absent in the country for decades.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya kwanza imepokea Faru weupe 18 kutoka nchini Afrika Kusini kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi nchini.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa(76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.