America Cast Serious Doubts on Tanzania’s Ability to Hold Credible Election
‘’ Recent political developments raise serious concerns about whether Tanzania can hold inclusive and peaceful elections’’
All news and updates from Tanzania
‘’ Recent political developments raise serious concerns about whether Tanzania can hold inclusive and peaceful elections’’
Ametoa agizo hilo leo Jumatano (Aprili 16, 2025) alipokagua maendeleo ya ukarabati wa madaraja katika maeneo ya Matandu na Somanga Mtama, Wilaya Kilwa Mkoani Lindi kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi yaliyokuwa yamekatika kufuatia mvua zinazonyesha nchini.
“Instead of using these heavy-handed tactics to silence critics, authorities in Tanzania should focus on upholding fundamental human rights in the country, including the right to freedom of expression and peaceful assembly.”
Chadema leader Tundu Lissu, who was arrested and charged with treason earlier in the week, previously said that his party would not participate in the polls without electoral reform.
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, limeitaka serikali ya Tanzania kumwachilia mara moja na bila masharti yoyote kiongozi wa chama cha upinzani Chadema, Tundu Lissu, aliyekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.
‘’No Reform No Change movement slogan” does not mean rebellion but the party’s firm stand against corrupt electoral systems.
Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi wake kuhusu kutoweka kwa matumaini ya mageuzi katika sheria za uchaguzi, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara. Usiku huo huo alisafirishwa kwa magari hadi Dar es Salaam na kufikishwa katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), kabla ya kupelekwa mahakamani leo asubuhi.
Lissu has consistently called for electoral reforms and warned that Chadema would oppose the elections unless changes are made to ensure free and fair voting.
Tanzania’s opposition leader and Chadema chairman, Tundu Lissu, has been arrested in Mbinga, Songea region, moments after addressing a public…