• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Hellen Kijo Bisimba, A Champion of Human Rights
East Africa Features People Shangazi Power Tanzania

Hellen Kijo Bisimba, A Champion of Human Rights

Joy CheptooApril 22, 2024July 3, 2024

Hellen’s commitment to human rights began in her teens when she stood up against injustices at her school.

Lissu, Mbowe kuongoza maandamano ingwe ya tatu katika mikoa 13 ya Tanzania bara
East Africa Politics Tanzania

Lissu, Mbowe kuongoza maandamano ingwe ya tatu katika mikoa 13 ya Tanzania bara

Asia GambaApril 18, 2024July 3, 2024

Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es salaam katika makao makuu ya chama hicho Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje bwana John Mrema amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa ajenda zao na makubaliano yaliyofanyika katika kikao kilichofanyika mkoani Mtwara maarufu Azimio la Mtwara na kwamba kamwe hawatarudi nyuma.

‘Walipe kama unataka!’ Ruto awaambia wanaounga mgomo wa madaktari
East Africa Lifestyle & Health Rights & Freedoms Tanzania

‘Walipe kama unataka!’ Ruto awaambia wanaounga mgomo wa madaktari

Kevin SeweApril 17, 2024July 3, 2024

Madaktari madkatrai nchini Kenya wametishia kuacha kufanya uchunguzi wa maiti na kujaza kujaza fomu za P3 iwapo polisi watahujumu na kuwazuia kufanya maandamano yao.

Dereva wa basi la shule lililosombwa na maji na kuua wanafunzi saba Arusha ashtakiwa kwa kuua bila kukusudiwa.
Accidents Crime & Justice East Africa Tanzania

Dereva wa basi la shule lililosombwa na maji na kuua wanafunzi saba Arusha ashtakiwa kwa kuua bila kukusudiwa.

Asia GambaApril 17, 2024July 3, 2024

Dereva huyo anayefahamika kwa majina ya Lukuman Hemed amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Sheila Mameto huku kesi hiyo ikiahirishwa hadi Aprili 30 mwaka huu, baada ya Mawakili wa upande wa Jamhuri kusema upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.

Watu 58 wafariki dunia kutokana na mafuriko nchini Tanzania kwa kipindi cha Aprili
Accidents East Africa Environment Natural disasters Tanzania

Watu 58 wafariki dunia kutokana na mafuriko nchini Tanzania kwa kipindi cha Aprili

Asia GambaApril 15, 2024July 3, 2024

Kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi, ukanda wa Pwani ndio ulioathirika zaidi ambapo watu 33 kati ya 58 wamefariki katika mkoa wa Morogoro na Pwani.

Dr. Nyambura Moremi’s Return: A New Chapter in Tanzania’s Health Leadership
East Africa Science & Tech Tanzania

Dr. Nyambura Moremi’s Return: A New Chapter in Tanzania’s Health Leadership

Joy CheptooApril 12, 2024July 3, 2024

Dr Nyambura Moremi was suspended alongside the institution’s Quality Assurance Director Jacob Lusekelo

Raila Akatiza Kampeni zake za Uenyekiti AU Kutetea Madaktari Wanaogoma Kenya
East Africa Lifestyle & Health Politics Tanzania

Raila Akatiza Kampeni zake za Uenyekiti AU Kutetea Madaktari Wanaogoma Kenya

Kevin SeweApril 11, 2024July 3, 2024

Kiongozi huyo wa ODM ameitaka Serikali kuwalipa wahudumu wa matibabu, kuangalia ada na mishahara ya madaktari wanaoendelea na masomo zaidi na kushughulikia kusitishwa kwa huduma zao bila utaratibu.

Kamatakamata Tanzania; Mwimbaji akamatwa Kwa Kuimba Wimbo Wenye Lugha ya ‘Uchochezi’
Entertainment Tanzania

Kamatakamata Tanzania; Mwimbaji akamatwa Kwa Kuimba Wimbo Wenye Lugha ya ‘Uchochezi’

Kevin SeweSeptember 18, 2023July 5, 2024

Mwakilima anasema ni haki ya kila mtu kutoa maoni juu ya nchi yake bila kuvunja sheria za nchi na kwamba.

Tanzania Yakanusha Tuhuma Ya kutoroshwa kwa Wanyamapori Hadi  Umoja wa Falme Za Kiarabu
Environment Tanzania

Tanzania Yakanusha Tuhuma Ya kutoroshwa kwa Wanyamapori Hadi Umoja wa Falme Za Kiarabu

Kevin SeweSeptember 12, 2023July 2, 2024

kulikuwa na uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa baadhi ya wanyama pori wanasafirishwa  kisiri siri kupitia ndege za mizigo kutoka Loliondo wilaya ya Ngorongoro karibu na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, hadi Umoja wa Falme za Kiarabu.

#TANZANIA: Barabara ya Nyerere ya Dar es Salaam kufungwa kwa miezi mitatu
Tanzania

#TANZANIA: Barabara ya Nyerere ya Dar es Salaam kufungwa kwa miezi mitatu

Joy CheptooMay 28, 2023July 2, 2024

Barabara hiyo itafungwa kuanzia Mei 28, na itafunguliwa tena Septemba 30, 2023, ujenzi utakapokamilika

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo