Mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Magufuli
Leo ni kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo ibada maalum imefanyika kwa ajili ya kumuombea.
All news and updates from Tanzania
Leo ni kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo ibada maalum imefanyika kwa ajili ya kumuombea.
Katika taarifa iliyotolewa leo na LHRC, imeeleza kwamba Pamoja na mamlaka waliyopewa Jeshi la Polisi ya kutuliza ghasia, bado jeshi hilo linawajibika kuheshimu, kuzingatia na kulinda misingi, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali ya utendaji kazi wa Jeshi hilo
Tanzania has tightened its border control to prevent the spread of yellow fever after cases were reported in neighbouring countries.…
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, kupitia ukurasa wake wa Twitter ni kwamba maamuzi ya chama kutokana na ajenda mbalimbali zitakazojadiliwa yatatolewa baada ya kikao hicho.
Mwanaume huyo wa Kimasai, 45, alifariki dunia papo hapo katika shambulio la tembo Jumatano wakati kundi la wakazi hao lilipokwenda kukusanya kuni
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo, amesema tukio hilo limetokea Februari 28, mwaka huu, katika kijiji cha Lipalwe mkoani Mtwara
Ilikuwa inasubiriwa siku saa na dakika kuweza tu kujua hatma ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu, juu ya kupatikana kwa uhuru wao uliochukuliwa na dola.
Mahakama hiyo Februari 18,2022 iliwakuta na kesi ya kujibu Mbowe na wenzake katika kesi ya ugaidi inayowakabili, hatua ambayo ilikuja baada ya upande wa mashtaka kufunga ushahidi wake kwa kuwaita mahakamani mashahidi 13 kati ya 24 iliokuwa imepanga kuwaita, huku ikitoa vielelezo 39.
Gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser V8, lilichukuliwa na Tamisemi mwishoni mwa mwaka 2020 kufuatia malalamiko ya Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma kuwa gari hilo lilinunuliwa kwa bei ya Sh400 milion bila ridhaa ya madiwani, wakati kukiwa na na upungufu wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya.
Mkurugenzi wa Mashitaka nchini Tanzania(DPP), Sylvester Mwakitalu leo amemuomdolea mashitaka ya uchochezi Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema, Hashimu Juma, yaliyokuwa yanamkabili ya uchochezi kupitia kifungu cha 90 (1), katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam