• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Magufuli
East Africa People Tanzania

Mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Magufuli

Asia GambaMarch 17, 2022July 2, 2024

Leo ni kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo ibada maalum imefanyika kwa ajili ya kumuombea.

LHRC yalaani tukio la askari aliyemuaa raia huko Kigoma nchini Tanzania
Crime & Justice East Africa Tanzania

LHRC yalaani tukio la askari aliyemuaa raia huko Kigoma nchini Tanzania

Asia GambaMarch 16, 2022July 2, 2024

Katika taarifa iliyotolewa leo na LHRC, imeeleza kwamba Pamoja na mamlaka waliyopewa Jeshi la Polisi ya kutuliza ghasia, bado jeshi hilo linawajibika kuheshimu, kuzingatia na kulinda misingi, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali  ya utendaji kazi wa Jeshi hilo

Tanzania tightens borders to contain yellow fever
Lifestyle & Health Tanzania

Tanzania tightens borders to contain yellow fever

Justus TharaoMarch 14, 2022July 2, 2024

Tanzania has tightened its border control to prevent the spread of yellow fever after cases were reported in neighbouring countries.…

Mbowe kuongoza kikao cha kamati kuu CHADEMA
East Africa Politics Tanzania

Mbowe kuongoza kikao cha kamati kuu CHADEMA

Asia GambaMarch 14, 2022July 2, 2024

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, kupitia ukurasa wake wa Twitter ni kwamba maamuzi ya chama kutokana na ajenda mbalimbali zitakazojadiliwa yatatolewa baada ya kikao hicho.

Tembo amuua Mmasai katika hifadhi ya wanyama ya Ngorongoro Tanzania
Nature Tanzania

Tembo amuua Mmasai katika hifadhi ya wanyama ya Ngorongoro Tanzania

Maureen MedzaMarch 11, 2022July 2, 2024

Mwanaume huyo wa Kimasai, 45, alifariki dunia papo hapo katika shambulio la tembo Jumatano wakati kundi la wakazi hao lilipokwenda kukusanya kuni

Amuua mke kisha amzika kwenye shamba
Crime & Justice East Africa Tanzania

Amuua mke kisha amzika kwenye shamba

Asia GambaMarch 7, 2022July 2, 2024

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo, amesema tukio hilo limetokea Februari 28, mwaka huu, katika kijiji cha Lipalwe mkoani Mtwara

Mbowe na wenzake walivyotoka kwenye kitanzi cha kesi ya Ugaidi
East Africa Features Politics Tanzania

Mbowe na wenzake walivyotoka kwenye kitanzi cha kesi ya Ugaidi

Asia GambaMarch 4, 2022July 2, 2024

Ilikuwa inasubiriwa siku saa na dakika kuweza tu kujua hatma ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu, juu ya kupatikana kwa uhuru wao uliochukuliwa na dola.

Mbowe na wenzake kuanza kujitetea kesho.
East Africa Politics Tanzania

Mbowe na wenzake kuanza kujitetea kesho.

Asia GambaMarch 3, 2022July 2, 2024

Mahakama hiyo Februari 18,2022 iliwakuta na kesi ya kujibu Mbowe na wenzake katika kesi ya ugaidi inayowakabili, hatua ambayo ilikuja baada ya upande wa mashtaka kufunga ushahidi wake kwa kuwaita mahakamani mashahidi 13 kati ya 24 iliokuwa imepanga kuwaita, huku ikitoa vielelezo 39.

Geita wataka V8 yao irudishwe
East Africa Politics Tanzania

Geita wataka V8 yao irudishwe

Asia GambaMarch 1, 2022July 2, 2024

Gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser V8, lilichukuliwa na Tamisemi mwishoni mwa mwaka 2020 kufuatia malalamiko ya Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma kuwa gari hilo lilinunuliwa kwa bei ya Sh400 milion bila ridhaa ya madiwani, wakati kukiwa na na upungufu wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya.

Mwenyekiti wa BAZECHA, akamatwa tena na polisi nchini Tanzania
East Africa Politics Tanzania

Mwenyekiti wa BAZECHA, akamatwa tena na polisi nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 23, 2022July 2, 2024

Mkurugenzi wa Mashitaka nchini Tanzania(DPP), Sylvester Mwakitalu leo amemuomdolea mashitaka ya uchochezi Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema, Hashimu Juma, yaliyokuwa yanamkabili ya uchochezi kupitia kifungu cha 90 (1), katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo