• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Lissu Ashinda Pingamizi Lingine Kesi Ya Uhaini
Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu Ashinda Pingamizi Lingine Kesi Ya Uhaini

Asia GambaOctober 23, 2025October 24, 2025

Katika pingamizi hilo, Lissu alipinga uwasilishaji wa taarifa hiyo akieleza kuwa shahidi, Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Samwel Elibariki Kaaya hana mamlaka ya kisheria ya kuandaa “report” bali “certificate” pekee ya uchunguzi, kwa mujibu wa tangazo la serikali linalomtambua chini ya kifungu cha 216(1) cha Sheria ya Ushahidi.

Balaa! Lissu Aibua Pingamizi Jipya
Africa Crime & Justice East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Balaa! Lissu Aibua Pingamizi Jipya

Wadh KassimOctober 22, 2025

Pingamizi hilo limewasilishwa muda mfupi baada ya Mahakama kutoa uamuzi wa pingamizi la awali, ambapo Lissu alipinga upokelewaji wa vielelezo vya video vilivyohifadhiwa katika Flash Disk na Memory Card.

CHADEMA Vice Chairman John Heche Arrested in Dar es Salaam
Africa East Africa Tanzania

CHADEMA Vice Chairman John Heche Arrested in Dar es Salaam

Kevin SeweOctober 22, 2025

The Vice Chairman of Tanzania’s main opposition party, Chadema, John Heche, has been arrested by police on Wednesday morning in Dar es Salaam, while entering the High Court gate, to hear the treason case facing its leader, Tundu Lissu.

Mahakama Yakubali Pingamizi La Lissu, Yakataa Kupokea Vielelezo Vya Ushahidi
Crime & Justice East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Mahakama Yakubali Pingamizi La Lissu, Yakataa Kupokea Vielelezo Vya Ushahidi

Wadh KassimOctober 22, 2025

Uamuzi huo umetolewa leo na  Jaji Dustan Nduguru ambaye anaongoza jopo la majaji watatu wanaosikiliza shauri hilo, wakati kesi hiyo ilipokuwa ikiendelea kusikilizwa kwa ajili ya kutolewa uamuzi kuhusu mapokezi ya vielelezo hivyo.

Tanzania’s Tight Grip on Social Media, What’s Blocked & What Still Works
East Africa Politics Science & Tech Tanzania

Tanzania’s Tight Grip on Social Media, What’s Blocked & What Still Works

Joy CheptooOctober 22, 2025October 21, 2025

Platforms like Telegram and Clubhouse have also faced slowdowns, with many users saying they struggle to join discussions without VPNs.

Amnesty International declares Tanzania election ‘Unopposed, Unchecked and Unjust’
Africa East Africa Tanzania

Amnesty International declares Tanzania election ‘Unopposed, Unchecked and Unjust’

Kevin SeweOctober 21, 2025

“I don’t feel safe being a politician in Tanzania. I don’t feel free to criticize the government. We find ourselves under constant attack by the police.”

Wahukumiwa miaka saba jela kwa jaribio la kumteka mfanyabiashara Tarimo
East Africa People Social Issues Tanzania

Wahukumiwa miaka saba jela kwa jaribio la kumteka mfanyabiashara Tarimo

Asia GambaOctober 21, 2025

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni,  jijini Dar es Salaam, imewahukumu vijana wanne kifungo cha miaka saba jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumteka mfanyabiashara Deogratus Tarimo.

Amnesty yalaani ukiukaji wa haki za binadamu wa “kitaasisi” nchini Tanzania
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Amnesty yalaani ukiukaji wa haki za binadamu wa “kitaasisi” nchini Tanzania

Asia GambaOctober 21, 2025

Kati ya Januari 2024 na Oktoba 2025, Amnesty iliripoti ukiukaji mpana wa haki za binadamu ikiwemo matukio ya watu kupotea kusikojulikana,  mateso na mauaji ya kiholela ya viongozi na wanaharakati wa upinzani.

Kesi ya Lissu:Hatima ya vielelezo vya video kesi ya Lissu kujulikana Jumatano
Africa East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Lissu:Hatima ya vielelezo vya video kesi ya Lissu kujulikana Jumatano

Asia GambaOctober 20, 2025October 20, 2025

Lissu, ambaye anajitetea mwenyewe, anakabiliwa na shtaka la uhaini yanayodaiwa kutokana na matamshi aliyotoa Aprili 3,2025. Alikamatwa Aprili 9, 2025 mkoani Ruvuma na kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam, ambako anakabiliwa na kesi hiyo mbele ya jopo la majaji wa Mahakama Kuu.

John Heche Sends Condolence Message After Being Blocked From Attending Raila Odinga’s Burial
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

John Heche Sends Condolence Message After Being Blocked From Attending Raila Odinga’s Burial

Joy CheptooOctober 19, 2025

The CHADEMA Deputy Chairperson added that being barred from crossing into Kenya deepened his pain, saying he had hoped to personally pay his final respects to a man he regarded as both a mentor and a friend.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy