Je, Mbowe anaandika ukurasa mpya kisiasa au anaufunga kabisa?
Wakati wengi walitarajia angerejea katika ulingo wa kisiasa kwa mtindo mpya, Mbowe amebaki kivuli cha kile kilichowahi kuwa sauti kali ya upinzani Tanzania.
All news and updates from Tanzania
Wakati wengi walitarajia angerejea katika ulingo wa kisiasa kwa mtindo mpya, Mbowe amebaki kivuli cha kile kilichowahi kuwa sauti kali ya upinzani Tanzania.
Mbowe has never appeared in Tundu Lissu’s court proceedings.
Let’s decide and give Chadema minimal reforms to enable them to participate in the election.
Bunge la Ulaya leo limemshutumu Balozi wake nchini Tanzania, Bi Christine Grau, kwa kukaa kimya mbele ya ukatili wa kisiasa…
We have a similar situation in Tanzania, where the opposition leader is in jail. Yet, our ambassador stays calm and silent, and one of our foreign ministers recently praised the situation. I think that is not acceptable.
Kesi hiyo ilitajwa leo, Julai 15, 2025, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo Lissu alionesha wazi kutoridhishwa na hatua hiyo, akidai kuwa upande wa Jamhuri unatumia hila kuchelewesha mchakato wa haki.
Today is the 97th day while in detention. I am being convicted alongside those who have been sentenced to date. I am fed up with these stories.
Polepole revealed that he could no longer serve under the current leadership due to what he described as a deterioration in political ethics, a disregard for citizens’ rights and the decline in integrity within the government.
The court ruled that Lissu’s petition should have been filed after the main case was concluded.
Tanzanian rights groups have expressed concerns about the broader implications of the ban, describing it as part of a troubling pattern of digital repression, particularly ahead of the October 2025 elections