Madereva bodaboda 759 na abiria 283 wafariki dunia kwa ajali kati ya 2023/24 nchini Tanzania
Imeelezwa kuwa jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwaka 2022 na 2024.
All news and updates from Tanzania
Imeelezwa kuwa jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwaka 2022 na 2024.
Raila Odinga has reportedly garnered support from at least 28 countries, though 19 heads of state have publicly endorsed him.
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, ndio waliofungua kesi hiyo ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini.
Hii leo inatajwa kwa ajili ya kuangaliwa iwapo upelelezi wa kesi umekamilika, ingawa imefungwa mikono kuendelea na hatua zaidi baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini kuwasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kupatikana kwa dhamana ya mshtakiwa kutokana na kuangalia uhalali wa kesi ya jinai kwa haraka.
Chama tawala nchini Tanzania Chama cha Mapinduzi(CCM) leo kinaadhimisha miaka 48 ya kuzaliwa kwake huku kikijivunia kuendelea kushikilia dola nchini humo.
Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa leo, bei ya petroli kwa rejareja katika Jiji la Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 0.957, dizeli kwa asilimia 2.18 na mafuta ya taa kwa asilimia 1.25.
Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere walimjulisha Babu Owino kuwa jina lake lilikuwa kwenye orodha ya watu wasio na kubalika nchini Tanzania.
Mazungumzo hayo yanatarajiwa kulenga kurejesha amani na utulivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambayo imekumbwa na ghasia na uhamiaji mkubwa.
This summit comes amid rising concerns over rebel group advances in the DRC, particularly the M23, backed by Rwanda, and the growing diplomatic tensions between several African countries