UN yatoa wito wa dharura wa dola milioni 110 kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Afghanistan
Tetemeko la kipimo cha 5.9 lilipiga jimbo la Paktika mashariki mwa nchi, na kuua zaidi ya watu 1,000 na kuwaacha makumi kwa maelfu bila makazi.
Tetemeko la kipimo cha 5.9 lilipiga jimbo la Paktika mashariki mwa nchi, na kuua zaidi ya watu 1,000 na kuwaacha makumi kwa maelfu bila makazi.
Watu sita walikufa baada ya mvua kubwa kusababisha mporomoko ya ardhi katika mji mkuu wa Ivory Coast Abidjan
Jamii ya wamasai imeishi katika hifadhi hiyo, eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kaskazini mwa Tanzania, kwa zaidi ya karne moja.
The indigenous Maasai community lives in Ngorongoro reserve in northern Tanzania but face eviction as officials say their growing population is a threat to wildlife in the area.
The conference will set the stage for a fresh round of major United Nations talks later this year in Egypt.
Mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa mwezi Aprili iliua watu 435 katika mafuriko na maporomoko ya ardhi.
Zimbabwe inashikilia nafasi ya pili kwa idadi kubwa ya tembo duniani ikiwa na tembo 100,000
Miongo kadhaa ya kilimo kisicho endelevu kimedhoofisha udongo duniani kote na kuharakisha ongezeko la joto duniani na upotevu wa viumbe, UNCCD inasema, huku takriban asilimia 40 ya ardhi ikiharibika kote duniani.
The floor of the bridge is made from French-produced tempered glass, making it strong enough to support up to 450 people at a time
Tetemeko la ardhi la kipimo cha 6.7 lilitokea kwenye pwani ya magharibi ya Nicaragua siku ya Alhamisi,