Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi
Kwa mujibu wa katiba ya Malawi, Chakwera hawezi kumsimamisha au kumwondoa Chilima kwa sababu ni afisa aliyechaguliwa na raia
Kwa mujibu wa katiba ya Malawi, Chakwera hawezi kumsimamisha au kumwondoa Chilima kwa sababu ni afisa aliyechaguliwa na raia
Kasisi aliyefukuzwa kazi na aliyewahi kushika nyadhifa za juu katika Kanisa Katoliki nchini Chile alihukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kubaka na kuwadhalilisha watoto kingono
Umoja wa Ulaya Jumanne uliahidi kuongeza euro milioni 600 kusaidia mataifa yaliyo hatarini kukabiliana na mzozo wa usalama wa chakula uliozidishwa na vita vya Urusi dhidi ya Ukraine.
Hospitali kuu ya umma nchini Kenya inasema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanajitolea kuuza figo zao.
Viongozi wa Afrika Mashariki walikubaliana Jumatatu kutuma kikosi cha kikanda kujaribu kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kutoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano.
Idadi ya wapiga kura vijana waliojiandikisha katika uchaguzi wa Agosti nchini Kenya imepungua tangu uchaguzi uliopita miaka mitano iliyopita, tume ya uchaguzi IEBC
Mkosoaji mkali wa utawala wa kikatili wa Ubelgiji, Lumumba alikua waziri mkuu wa kwanza wa nchi yake baada ya DR Congo kupata uhuru wake mwaka 1960.
Afisa mmoja wa eneo hilo alilaumu mashambulizi hayo kwa wanajihadi na kusema idadi ya waliouawa walikuwa 24, akisema mauaji hayo yalitokea Ebak, takriban kilomita 35 kaskazini mwa Gao, mji mkuu wa mkoa huo.
Somalia imekuwa soko muhimu la uuzaji wa nje wa miraa nchini Kenya tangu Uholanzi na Uingereza zilipoweka marufuku mwaka wa 2012 na 2014 mtawalia
Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo