Mwanariadha wa Bahrain mzaliwa wa Kenya apatikana kafariki nyumbani kwake
Mutua, 28, alishindania Kenya kama mwanariadha mwenye umri mdogo na kushinda medali mbili za shaba katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2010 huko Singapore
Mutua, 28, alishindania Kenya kama mwanariadha mwenye umri mdogo na kushinda medali mbili za shaba katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2010 huko Singapore
Asilimia 65 ya watu waliohamishwa kutokana na kufirika kwa ziwa hilo ni watoto.
Mapigano yamepamba moto upya katika taifa hilo licha ya ahadi ya Rais Salva Kiir na Makamu wa Rais Riek Machar, kujitahidi kutekeleza vifungu muhimu vya mapatano ya amani
Wanajeshi wawili wamewaua kwa risasi jumla ya watu 15, ikilaumu shambulizi hilo kutokana na wanajeshi hao kulewa chakari.
Cristiano Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez wametangaza Jumatatu kuwa mtoto wao mchanga amefariki dunia. Ronaldo alifichua katika chapisho la…
Mvua kubwa zaidi kuwahi kunyesha katika miaka 60 iliikumba manispaa ya Durban, inayojulikana kama eThekwini.
Wakati Uchaguzi Mkuu unapokaribia, vyama vya siasa vinaharakisha kukamilisha mchujo wa vyama vyao kabla muda wa makataa Aprili 22,2022
“Tatizo la mafuta linaloendelea litakwisha ndani ya saa 72” Monica Juma
Chanjo iliyopo ya homa ya uti inatoa kinga dhidi ya kisonono, tafiti tatu zilisema
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo baada ya mvua kunyesha katika mji wa bandari wa…