Waasi wa M23 watangaza ‘kujiondoa’ kutoka vijiji vya DR Congo
Kundi la M23 lilianzishwa miongoni mwa wanachama wa zamani wa wanamgambo wa Kitutsi wa Congo ambao wakati fulani waliungwa mkono na Rwanda na Uganda.
Kundi la M23 lilianzishwa miongoni mwa wanachama wa zamani wa wanamgambo wa Kitutsi wa Congo ambao wakati fulani waliungwa mkono na Rwanda na Uganda.
“Bei za bidhaa za chakula duniani zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Machi kufikia viwango vyake vya juu zaidi,”FAO
Nyota huyo ambaye anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza na mpenzi wake rapa ASAP Rocky, alitangazwa rasmi kuwa mwanamke tajiri zaidi katika muziki mwaka jana.
Toumi, 64, ambaye amezuiliwa tangu Novemba 2020, alishtakiwa kwa kufuja pesa za umma, matumizi mabaya ya ofisi na kutoa marupurupu isipostahili.
Wakati janga hilo limekuwa na athari mbaya kwa sehemu zingine za ulimwengu, Afrika ilionekana kuepuka athari hizo na haikuathiriwa vibaya kama ilivyohofiwa mwanzoni mwa janga hilo.
Mnamo 2020 zaidi ya watu 700,000 walipoteza kazi na Wakenya bado wanakabiliana na kupanda kwa gharama za bidhaa za kimsingi
Shirika la kutetea haki za binadamu la HRW lilisema kwamba vikosi vya Mali na wapiganaji wa kigeni waliwaua raia 300 huko Moura, katika kile ilichokiita “ukatili mmoja mbaya zaidi kuripotiwa”
Sankara alishambuliwa na wanajeshi wenzake wakati wa mapigano yaliyomweka Compaore madarakani.
Alikuwa na umri wa miaka 37 tu.
Thomas Sankara alikuwa mkuu wa jeshi akiwa na umri wa miaka 33 tu alipoingia madarakani kwa mapinduzi mwaka wa 1983.
Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 37 alishtakiwa kwa kuandika taarifa kwenye Facebook zinazokosoa Uislamu na mtume wake