Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI
Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa
Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa
Kampuni ya BioNTech iliyoko Mainz ilisema ilipata faida ya jumla ya euro bilioni 10.3 (dola bilioni 11.5) mwaka jana, kutoka euro milioni 15 mnamo 2020
Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.
Wanajeshi wanane waliuawa Jumanne wakati helikopta ya Puma ilipoanguka DR Congo
Idadi kubwa ya mauaji yaliyoshuhudiwa mwishoni mwa juma yalidaiwa kuamriwa na magenge ya Mara Salvatrucha (MS-13) na Barrio 18.
Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.
Hili lilikuwa ni shambulizi la hivi punde zaidi lililohusishwa na magenge ya wahalifu wenye silaha, ambao wanalaumiwa kwa kuongezeka kwa ghasia na utekaji nyara mkubwa kaskazini magharibi mwa Nigeria.
Mahakama ya Nairobi iliamuru waachiliwe huru baada ya upande wa mashtaka kusema hawakuwa na ushahidi wa kutosha kuwahusisha waendeshaji bodaboda hao na uhalifu.
Rock alifanya mzaha akilinganisha nywele za Jada Pinkett Smith alizonyoa na mwonekano wa Demi Moore katika filamu ‘GI Jane’
Taifa hilo la Pembe ya Afrika limeshuhudia mashambulizi mengi katika wiki za hivi karibuni huku likipitia mchakato wa uchaguzi uliochelewa kwa muda mrefu.