Rais mpya wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe aapishwa
Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo
Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo
Polisi na waandamanaji walikabiliana katika vitongoji vya Area 36, Area 23 na Falls Estate baada ya waandamanaji kufunga barabara kuu kwa matairi ya moto.
Mapigano yalizuka katika jimbo la kusini ambalo linapakana na Ethiopia na Sudan Kusini mnamo Julai 11 kati ya watu wa makabila ya Berti na Hausa.
Takriban wahamiaji 23 walikufa baada ya takriban watu 2,000, wengi kutoka Sudan, kuvamia mpaka huo tarehe 24 Juni ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo kuwahi kutokea
Matokeo yatatangazwa Septemba 5. Kura ya Jumanne inamaanisha Uingereza huenda ikapata waziri mkuu wake wa kwanza mwenye asili ya Asia au kiongozi wa tatu mwanamke katika historia yake.
Ramadhani Kingai ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa upelelezi wa Makosa ya jinai nchini (DCI)
Kenya ni nyumbani kwa spishi tatu ndogo za twiga, Maasai, reticutated na Rothschild.
Hadithi hiyo pia ilishinda Tuzo ya Short Story Day Africa ya 2021 na itachapishwa katika anthology ya Tuzo ya AKO Caine ya 2022 baadaye mwaka huu na Cassava Republic Press.
Mjadala wa manaibu Rais utafanyika Jumanne, Julai 19 katika Chuo Kikuu cha Catholic University of East Africa (CUEA) huko Karen, Nairobi.
Wagombea watatu waliteuliwa Jumanne kuchukua nafasi ya rais wa zamani wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa, ambaye alitoroka nchi na kujiuzulu wiki iliyopita