• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Rais mpya wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe aapishwa
Asia Features People Politics

Rais mpya wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe aapishwa

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo

Polisi wa Malawi wawakamata watu 76 baada ya maandamano ya siku nzima
Africa Features Politics

Polisi wa Malawi wawakamata watu 76 baada ya maandamano ya siku nzima

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Polisi na waandamanaji walikabiliana katika vitongoji vya Area 36, ​​Area 23 na Falls Estate baada ya waandamanaji kufunga barabara kuu kwa matairi ya moto.

Idadi ya vifo kutokana na mapigano ya kikabila Sudan yaongezeka hadi 105
Africa Features Politics

Idadi ya vifo kutokana na mapigano ya kikabila Sudan yaongezeka hadi 105

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Mapigano yalizuka katika jimbo la kusini ambalo linapakana na Ethiopia na Sudan Kusini mnamo Julai 11 kati ya watu wa makabila ya Berti na Hausa.

Mahakama ya Morocco yawafunga jela wahamiaji 33 wa Melilla
Africa Features Politics

Mahakama ya Morocco yawafunga jela wahamiaji 33 wa Melilla

Maureen MedzaJuly 20, 2022July 20, 2022

Takriban wahamiaji 23 walikufa baada ya takriban watu 2,000, wengi kutoka Sudan, kuvamia mpaka huo tarehe 24 Juni ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo kuwahi kutokea

Wagombea wawili wanaowania kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kuamuliwa
Europe Features International People Politics

Wagombea wawili wanaowania kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kuamuliwa

Maureen MedzaJuly 20, 2022July 20, 2022

Matokeo yatatangazwa Septemba 5. Kura ya Jumanne inamaanisha Uingereza huenda ikapata waziri mkuu wake wa kwanza mwenye asili ya Asia au kiongozi wa tatu mwanamke katika historia yake.

Tanzania: Rais Samia Suluhu afanya mabadiliko katika jeshi la polisi
East Africa Features People Politics

Tanzania: Rais Samia Suluhu afanya mabadiliko katika jeshi la polisi

Maureen MedzaJuly 20, 2022July 20, 2022

Ramadhani Kingai ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa upelelezi wa Makosa ya jinai nchini (DCI)

Kenya: Tukio la ajabu twiga pacha wazaliwa
East Africa Features Nature

Kenya: Tukio la ajabu twiga pacha wazaliwa

Maureen MedzaJuly 20, 2022July 20, 2022

Kenya ni nyumbani kwa spishi tatu ndogo za twiga, Maasai, reticutated na Rothschild.

Kenya: Mwandishi Idza Luhumyo ashinda tuzo ya uandishi ya Caine
East Africa Features People

Kenya: Mwandishi Idza Luhumyo ashinda tuzo ya uandishi ya Caine

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Hadithi hiyo pia ilishinda Tuzo ya Short Story Day Africa ya 2021 na itachapishwa katika anthology ya Tuzo ya AKO Caine ya 2022 baadaye mwaka huu na Cassava Republic Press.

Kenya: Wafahamu wagombea wenza katika uchaguzi wa Agosti 9
East Africa Features People Politics

Kenya: Wafahamu wagombea wenza katika uchaguzi wa Agosti 9

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Mjadala wa manaibu Rais utafanyika Jumanne, Julai 19 katika Chuo Kikuu cha Catholic University of East Africa (CUEA) huko Karen, Nairobi.

Sri Lanka: Wagombea watatu wateuliwa kuchukua nafasi ya rais wa zamani Gotabaya Rajapaksa
Asia Features People Politics

Sri Lanka: Wagombea watatu wateuliwa kuchukua nafasi ya rais wa zamani Gotabaya Rajapaksa

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Wagombea watatu waliteuliwa Jumanne kuchukua nafasi ya rais wa zamani wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa, ambaye alitoroka nchi na kujiuzulu wiki iliyopita

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo