Jezi ya Maradona ya ‘hand of God’ aliyovaa katika Kombe la Dunia yauzwa kwa mnada kwa $9.3 milioni
Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.
Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.
Takriban wahamiaji 2,000 walitoweka au kufariki katika bahari ya Mediterania mwaka jana, kutoka 1,400 mwaka uliopita, kulingana na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji.
The pope has repeatedly called for peace in Ukraine and denounced a “cruel and senseless war” without mentioning Putin or Moscow by name.
“We are visiting you to say thank you for your fight for freedom… Our commitment is to be there for you until the fight is done,”
Kukamatwa kwa kokeini imekuwa jambo la kawaida katika Pwani ya Atlantiki ya Afrika Magharibi,eneo linalotumika kwa usafirishaji wa dawa za kulevya kutoka Amerika Kusini kuelekea Uropa.
Baada ya mgonjwa mmoja kufanyiwa uchunguzi, THC kiungo kikuu cha bangi kinachoathiri akili,kilipatikana kwenye damu yake
sio ajali ya kwanza ya aina yake kwa nchi hiyo iliyokumbwa na mzozo na inayokabiliana na mdororo mbaya zaidi wa kifedha kuwahi kutokea.
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Gun salutes will mark Queen Elizabeth II’s 96th birthday on Thursday, although the monarch herself was expected to mark the…
Italia inataka kuongeza Angola na Congo-Brazzaville kwenye orodha ya mataifa wasambazaji wa gesi kuchukua nafasi ya Urusi, ambayo huisambazia Italia takriban asilimia 45 ya gesi