Georgia Yalazimika Kubadilisha Mswada Tata Iliyokuwa imepitisha
Bunge la Georgia kwa kauli moja limepiga kura ya kuutupilia mbali mswada tata iliyokuwa imeipitisha hapo awali.
Bunge la Georgia kwa kauli moja limepiga kura ya kuutupilia mbali mswada tata iliyokuwa imeipitisha hapo awali.
Museveni alisema Uganda ilijizuia na kuchukua msimamo wa kutoegemea upande wowote wakati suala la Urusi na Ukraine lilipokuja kujadiliwa katika Umoja wa Mataifa.
Maafisa walikuwa wamekanusha kuwa Biden angezuru Ukraine wakati wa safari yake ya kuelekea Ulaya mashariki.
Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.
Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.
Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.
Waziri Mkuu Elisabeth Borne anasema mabadiliko hayo ni muhimu ili kuzuia upungufu mkubwa katika mfumo huo katika siku zijazo
Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.
Viongozi hao wawili walikubaliana kukuza kile Zelenskyy alichoita ‘Mpango wa Nafaka Kutoka Ukraine’ katika mazungumzo ya simu
Britain’s Prince Harry recounts in his new book how he was physically “attacked” by his older brother Prince William during an argument in 2019