• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Europe

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji
Europe Football

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji

Kevin SeweMarch 22, 2023July 2, 2024

Kiungo wa kati wa Manchester city Kevin De Bruyne amethibitishwa kuwa nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji kufuatia kustaafu kwa Eden Hazard.

Watu 7 Wauawa Kwa Kupigwa Risasi Kanisani Ujerumani
Europe

Watu 7 Wauawa Kwa Kupigwa Risasi Kanisani Ujerumani

Kevin SeweMarch 10, 2023March 10, 2023

Watu zaidi ya 7 wameripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi kwenye jumba la mikutano la Jehovah Witness katika jiji la Hamburg kaskazini mwa Ujerumani.

Georgia Yalazimika Kubadilisha Mswada Tata Iliyokuwa imepitisha
Europe Politics

Georgia Yalazimika Kubadilisha Mswada Tata Iliyokuwa imepitisha

Kevin SeweMarch 10, 2023March 10, 2023

Bunge la Georgia kwa kauli moja limepiga kura ya kuutupilia mbali mswada tata iliyokuwa imeipitisha hapo awali.

Museveni afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine, Zelenskyy
East Africa Europe War & Conflicts

Museveni afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine, Zelenskyy

Joy CheptooFebruary 23, 2023July 2, 2024

Museveni alisema Uganda ilijizuia na kuchukua msimamo wa kutoegemea upande wowote wakati suala la Urusi na Ukraine lilipokuja kujadiliwa katika Umoja wa Mataifa.

Jinsi safari ya Biden kwenda Ukraine ilivyofanywa kisiri
Europe International War & Conflicts

Jinsi safari ya Biden kwenda Ukraine ilivyofanywa kisiri

Joan WafulaFebruary 20, 2023July 2, 2024

Maafisa walikuwa wamekanusha kuwa Biden angezuru Ukraine wakati wa safari yake ya kuelekea Ulaya mashariki.

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.
Europe Football Sports

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.
Africa Europe Football Sports

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.

Mwili wa Mtanzania aliyefia Ukraine kurudishwa Tanzania kwa ajili ya maziko
East Africa Europe Tanzania War & Conflicts

Mwili wa Mtanzania aliyefia Ukraine kurudishwa Tanzania kwa ajili ya maziko

Asia GambaJanuary 24, 2023July 2, 2024

Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax  mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.

Ufaransa inapanga kuongeza umri wa kustaafu hadi 64 ifikapo 2030
Europe People

Ufaransa inapanga kuongeza umri wa kustaafu hadi 64 ifikapo 2030

Joy CheptooJanuary 20, 2023January 20, 2023

Waziri Mkuu Elisabeth Borne anasema mabadiliko hayo ni muhimu ili kuzuia upungufu mkubwa katika mfumo huo katika siku zijazo

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine na watu 15 wafariki katika ajali ya Helikopta
Europe War & Conflicts

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine na watu 15 wafariki katika ajali ya Helikopta

Victor WanaswaJanuary 18, 2023July 2, 2024

Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo