• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: International

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani
Europe Features International Politics

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Mwezi huu Urusi ilipitisha vifungo vya sheria vya kifungo cha hadi miaka 15 jela kwa kueneza habari za uwongo zenye lengo la kudhalilisha jeshi lake, pamoja na kifungo cha hadi miaka 3 jela kwa kuitisha vikwazo dhidi ya Urusi.

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Europe International Politics

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco
Africa Features Football Middle East Sports

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).

TikTok expands max video length to 10 minutes, up from 3 minutes
Arts & Culture Entertainment International Science & Tech

TikTok expands max video length to 10 minutes, up from 3 minutes

Justus TharaoMarch 14, 2022July 2, 2024

“We’re always thinking about new ways to bring value to our community and enrich the TikTok experience. Last year, we introduced longer videos, giving our community more time to create and be entertained on TikTok,”

Morocco: Makumi wafa maji baada ya mashua yao kupinduka wakihamia Uhispania
Africa Europe Features International

Morocco: Makumi wafa maji baada ya mashua yao kupinduka wakihamia Uhispania

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Takriban wahamiaji 44, wakiwemo wanawake na watoto wachanga, walikufa maji wiki hii kwenye pwani ya Morocco walipokuwa wakijaribu kufika Uhispania

Barack Obama akutwa na UVIKO 19, ahimiza watu wapate chanjo
Features International Lifestyle & Health People

Barack Obama akutwa na UVIKO 19, ahimiza watu wapate chanjo

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Licha ya kuwepo kwa vuguvugu la kupinga chanjo nchini humo, Vituo vya Amerika vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) vinasema zaidi ya asilimia 80 ya watu wamechanjwa

Russian airstrike hits base in western Ukraine, kills 35
Europe International War & Conflicts

Russian airstrike hits base in western Ukraine, kills 35

Justus TharaoMarch 14, 2022July 2, 2024

Russian fighters also fired at the airport in the western city of Ivano-Frankivsk, which is less than 150 kilometers (94 miles) north of Romania and 250 kilometers (155 miles) from Hungary, countries that also are NATO allies.

Chelsea’s future is plunged into doubt
International People Politics Sports

Chelsea’s future is plunged into doubt

Mwanzo EditorMarch 11, 2022March 11, 2022

Chelsea have been given a special licence to continue to operate but nevertheless face tough restrictions.

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake
Europe Features Football International People

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy