Nigeria’s government to airlift citizens stranded in Ukraine
African countries have been scrambling to help citizens living in Ukraine who crossed over borders especially after reports some were mistreated or blocked.
African countries have been scrambling to help citizens living in Ukraine who crossed over borders especially after reports some were mistreated or blocked.
Kabla ya kuongezeka kwa mzozo huo, Ujerumani ilikuwa imeahidi tu kuchangia kwa kutoa helmeti na kusaidia kujenga hospitali huko Ukraine.
Pendekezo la mtendaji mkuu wa EU litawapa wakimbizi kutoka Ukraine na familia zao kibali cha kuishi na haki ya kupata kazi na elimu kwa miaka miwili.
Ushuru kwa meli za mafuta ya petroli zitapandishwa kwa asilimia 10 kwa ada ya kutumia mfereji huo huku wachukuzi wa gesi asilia na meli za mizigo za jumla zitapata ongezeko la asilimia saba
ICJ ilisema Jumanne itafanya vikao kuhusu mauaji ya halaiki nchini Ukraine kati ya Machi 7 na 8
Afrika Kusini iliripoti karibu vifo 100,000 vilivyotokana na UVIKO 19, na zaidi ya kesi milioni 3.6 za maambukizi.
UNHCR announced that 660,000 people had already fled Ukraine to neighbouring countries and that figures were increasing “exponentially”.
TikTok more than tripling the length of videos comes as YouTube and Facebook-parent Meta strive to counter the rival with short-form content options.
Nearly 1,000 tourists from Ukraine were staying at different hotels in the semi-autonomous region, according to Zanzibar’s Tourism Ministry.
“Nimeridhika kwamba kuna msingi mzuri wa kuamini kwamba uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu umefanywa nchini Ukraine” tangu 2014, Karim khan