“Sanaa yaiga maisha,” Will Smith baada ya kumzaba kofi mcheshi Chris Rock wakati wa tuzo za Oscars
Rock alifanya mzaha akilinganisha nywele za Jada Pinkett Smith alizonyoa na mwonekano wa Demi Moore katika filamu ‘GI Jane’
Rock alifanya mzaha akilinganisha nywele za Jada Pinkett Smith alizonyoa na mwonekano wa Demi Moore katika filamu ‘GI Jane’
The ECB lends to banks but in theory is not allowed to lend directly to eurozone governments themselves
The main task of any central bank is to provide a framework for the economy to grow sustainably
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Balozi Mulamula amesema kwa miaka mingi sasa Tanzania inaamini katika kutafuta muafaka na maridhiano kwa kutumia njia ya diplomasia ili kumaliza migogoro.
Imeshambulia ghala hilo kwa kutumia makombora ya masafa marefu yaliyorushwa kutoka baharini.
Kulingana na Shirika la Human Rights Watch, watu waliofanikiwa kuukimbia mji huo wameelezea hali mbaya walioiacha ikiwemo maiti kutapakaa barabarani na majengo yaliyoharibiwa.
Global megachurch Hillsong announced Wednesday that its co-founder Brian Houston had resigned after complaints of impropriety were made against him…
Navalny will serve his new sentence in a “strict-regime” penal colony, which will place him in much harsher conditions.
Media reports said the suspect, whose name has not been disclosed, was armed with a knife and an axe, though police have not confirmed that information.