Hakuna manusura aliyepatikana kwenye ajali ya Ndege China
Mabaki ya ndege yamepatikana katika eneo la ajali hiyo lakini hakuna yeyote aliyekuwemo ndani aliyepatikana hai.
Mabaki ya ndege yamepatikana katika eneo la ajali hiyo lakini hakuna yeyote aliyekuwemo ndani aliyepatikana hai.
The suspects are accused of posting anti-government messages including calls to topple China’s communist regime.
Siku ya Jumamosi iliripoti vifo viwili vya Covid-19 ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka huu.
Urusi ilikuwa imeipa Ukraine hadi saa kumi na moja alfajir ya leo kuwa imesalimu amri mjini Mariupol, lakini haikusema itafanya nini ikiwa Ukraine itakataa kuheshimu matakwa yake.
Women and children account some 90 percent of those who have fled.
Kwa mujibu wa taarifa ya Mamalaka ya Usafiri wa Anga ya China, ndege hiyo aina ya Boeing-737 ilikuwa ikitokea mji wa Kunming kuelekea Guangzhou.
“At present, it has been confirmed that this flight has crashed,”
“What’s happening now in Mariupol is a massive war crime, destroying everything, bombarding and killing everybody,” Josep Borrell said
Zaidi ya watu milioni 1 wengi wao kutoka Syria walifika ufuo wa Ulaya mwaka 2015, lakini hawakupewa hadhi ya ulinzi wa moja kwa moja.
Finland inajulikana kwa huduma zake za umma zinazofanya kazi vizuri, imani iliyoko katika mamlaka na viwango vya chini vya uhalifu na usawa kati ya jamii.