Raila Odinga’s Funeral Programme: Public Viewing in Nairobi & Kisumu, Burial on Sunday
The programme seeks to honour Raila’s wish stated in his will, to be laid to rest within 72 hours of his death
The programme seeks to honour Raila’s wish stated in his will, to be laid to rest within 72 hours of his death
Kesi hiyo, ambayo leo inachukua siku ya saba tangu ianze kusikilizwa kwa hatua ushahidi imekuwa ikivuta hisia za wananchi na wadau wa sheria, ilianza kusikilizwa majira ya saa tatu asubuhi ambapo Kahaya alianza kutoa ushahidi wake, na leo aliendelea kujibu maswali ya dodoso kutoka kwa Lissu.
Humphrey’s mother added that it is painful to see a country once guided by the late Mwalimu Nyerere’s values turn into a place where citizens can disappear without trace
According to the statement signed by Brenda Rupia, the party’s Director of Communications and Publicity, several people were beaten and dispersed by police officers in the court compound.
He further accused police officers stationed at the court of assaulting citizens who had gathered peacefully to follow the proceedings, calling it a violation of constitutional rights.
This incident comes just months after Kenyan activist Boniface Mwangi and Ugandan journalist Agather Atuhaire were abducted in Tanzania.
Kisiwa hicho cha Bahari ya Hindi kilikuwa kinangoja uteuzi wa waziri mkuu mpya baada ya Rais Andry Rajoelina kuvunja baraza lake lote la mawaziri Jumatatu, hatua aliyochukua kutuliza maandamano yaliyoshika kasi tangu Septemba 25 kutokana na malalamiko ya uongozi mbaya pamoja na ukosefu wa maji na umeme.
Waandamanaji nchini Madagascar wameitisha maandamano mapya leo Jumanne, siku moja baada ya Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina kuvunja serikali yake kwa lengo la kutuliza ghasia zilizosababisha vifo vya watu 22, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.
Wiki iliyopita maandamano ya siku mbili yaliibuka na kusababisha makabiliano kati ya vijana na polisi. Waandamanaji, waliyoitishwa kupitia mitandao ya kijamii na vuguvugu la “Gen Z”, walilalamikia kukatika kwa maji na umeme kunakolikithiri katika taifa hilo maskini.
Norah works with communities, movements and activists across the country to fight corruption, push for gender equality and demand justice