• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: People

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi
East Africa Kenya People Rights & Freedoms

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi

Asia GambaMarch 17, 2025

Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeiomba Serikali ya Kenya kumaliza uchunguzi kuhusu miili iliyoharibiwa iliyopatikana kwenye mgodi mwaka jana, na kushughulikia madai kwamba polisi walizuia juhudi za kuchukua miili hiyo.

Lissu, Semu, Sifuna na Viongozi Wengine wa Kisiasa Wazuiwa Kuingia Angola
Africa East Africa Kenya People Politics Tanzania Uganda

Lissu, Semu, Sifuna na Viongozi Wengine wa Kisiasa Wazuiwa Kuingia Angola

Joy CheptooMarch 13, 2025March 14, 2025

Viongozi hao walizuiwa kuingia nchini bila maelezo yoyote kutoka kwa mamlaka za Angola.

Lissu, Semu, Sifuna & Other Political Leaders Denied Entry into Angola
Africa East Africa Kenya People Politics Tanzania Uganda

Lissu, Semu, Sifuna & Other Political Leaders Denied Entry into Angola

Joy CheptooMarch 13, 2025March 14, 2025

The incident raises diplomatic and political concerns, particularly as many of those denied entry are opposition leaders in their respective countries.

President Ruto Declares Free National IDs for All Kenyans
East Africa Kenya People Politics

President Ruto Declares Free National IDs for All Kenyans

Joy CheptooMarch 13, 2025

Previously, Kenyans were required to pay Ksh.300 for a first-time ID application, while lost IDs attracted a replacement fee of Ksh.1,000

Prof. Philemon Mikol Sarungi Laid to Rest in Dar es Salaam, Tanzania
East Africa Features People Tanzania

Prof. Philemon Mikol Sarungi Laid to Rest in Dar es Salaam, Tanzania

Joy CheptooMarch 10, 2025April 17, 2025

Prof. Sarungi’s passing marks the end of an era, but his legacy will continue to inspire future generations

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa
East Africa People Social Issues Tanzania Uncategorized

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa

Asia GambaMarch 6, 2025

Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.

Former Tanzanian Minister and Renowned Surgeon Prof. Philemon Sarungi Passes Away
East Africa People Tanzania

Former Tanzanian Minister and Renowned Surgeon Prof. Philemon Sarungi Passes Away

Joy CheptooMarch 5, 2025April 17, 2025

Prof. Sarungi will be remembered for his contributions to Tanzania’s healthcare, education, and governance.

Mtoto Wa Mwaka Mmoja Miongoni Mwa Waliobakwa Katika Vita Vinavyoendelea Nchini Sudan
Africa Crime & Justice Gender International People Rights & Freedoms Social Issues War & Conflicts

Mtoto Wa Mwaka Mmoja Miongoni Mwa Waliobakwa Katika Vita Vinavyoendelea Nchini Sudan

Wadh KassimMarch 4, 2025

UNICEF imebaini kuwa kesi 221 za ubakaji dhidi ya watoto zimeripotiwa rasmi tangu mwanzo wa mwaka 2024, lakini idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi. Waathiriwa ni pamoja na wavulana na wasichana, ambapo theluthi moja ya waathiriwa ni wavulana.

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa
East Africa Education People Social Issues Tanzania

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.

Wanaharakati Waandamana Jijini Nairobi Wakitaka Kizza Besigye Aachiliwe
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uganda

Wanaharakati Waandamana Jijini Nairobi Wakitaka Kizza Besigye Aachiliwe

Joy CheptooFebruary 24, 2025February 24, 2025

Maandamano hayo ya amani, yaliyoandaliwa na Amnesty International Kenya, Vocal Africa, na mashirika mengine ya kijamii, yalianzia Aga Khan Walk, Nairobi CBD, na kuelekea Bunge la Kenya na Ubalozi wa Uganda.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo