• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Politics

Shahidi: Nitaendelea Kuunga Mkono Kauli za Lissu za Aprili 3,2025
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Shahidi: Nitaendelea Kuunga Mkono Kauli za Lissu za Aprili 3,2025

Wadh KassimSeptember 8, 2026

Brenda pia alikataa kwamba Chadema ilisusia uchaguzi wa mwaka 2025, akieleza kuwa kauli ya “No Reforms, No Elections” ililenga kushinikiza mabadiliko katika mfumo wa uchaguzi.

Shahidi: Lissu Hakuandaa Mkutano wa Aprili 3
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Shahidi: Lissu Hakuandaa Mkutano wa Aprili 3

Wadh KassimSeptember 7, 2026

Rupia alisema uamuzi wa kuitisha mkutano huo ulifanywa na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, pamoja na Sekretarieti ya chama.
Alifafanua kuwa Sekretarieti ni chombo cha utekelezaji kinachoshughulikia shughuli za chama kila siku, kikijumuisha Katibu Mkuu, manaibu wake wawili pamoja na wakurugenzi wa chama.

Jamhuri Yamuhoji Golugwa Kuhusu Madai ya Uchaguzi
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Jamhuri Yamuhoji Golugwa Kuhusu Madai ya Uchaguzi

Wadh KassimSeptember 4, 2026

Golugwa amekiri kuwa katika taarifa hizo kulikuwa na msimamo wa Chadema wa kutoshiriki uchaguzi hadi Serikali itakaposhinikizwa kufanya mabadiliko. Alipoulizwa ni nani aliyepaswa kushinikizwa, alijibu kuwa ni Serikali.

Tunisia Top Court Begins Final Hearing in Mass Trial of Opposition Figures
Africa Politics

Tunisia Top Court Begins Final Hearing in Mass Trial of Opposition Figures

Wadh KassimSeptember 3, 2026

The Tunisian Court of Cassation began hearing on Thursday the final appeal of dozens of opposition figures accused of plotting against the state, in a case condemned as political by activists.

Ethiopia’s Abiy Could Consolidate Power as ‘Executive President’
Africa Politics

Ethiopia’s Abiy Could Consolidate Power as ‘Executive President’

Wadh KassimSeptember 2, 2026

A weeks-long political dialogue in Ethiopia has backed constitutional changes to create a new presidential system that could extend Prime Minister Abiy Ahmed’s control over the country.

Mnyika: No Reforms No Elections Ilikua Chini Ya Mwenyekiti Mbowe
Crime & Justice East Africa Kenya Politics Rights & Freedoms

Mnyika: No Reforms No Elections Ilikua Chini Ya Mwenyekiti Mbowe

Wadh KassimAugust 31, 2026August 31, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, John Mnyika, ameendelea kuhojiwa kwa maswali ya dodoso na upande wa Jamhuri katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.

Mnyika Atumia Hotuba Ya Nyerere Utetezi Kesi Ya Lissu, Aibua Kifo Cha Akwelina
Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Mnyika Atumia Hotuba Ya Nyerere Utetezi Kesi Ya Lissu, Aibua Kifo Cha Akwelina

Wadh KassimAugust 31, 2026August 31, 2026

“Kesi ni mwendelezo wa kuwabambikia viongozi wa CHADEMA kesi za uongo na mbinu za kukwamisha mabadiliko, ni matumizi yasiyo ya haki ya njia za kimahakama na kisheria dhidi ya wapinzani na CCM dhidi ya CHADEMA na viongozi wake,”Mnyika

Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Ahitimisha Utetezi Baada Ya Siku Tano Mahakamani, Shahidi Mwingine Kuendelea

Wadh KassimAugust 28, 2026

Lissu amepanga kuleta mashahidi 12 kwa ajili ya utetezi dhidi yake akiwemo na yeye mwenyewe huku, wengine wakiwa ni Viongozi wakuu wa serikali na Chama chake.

Dr. Emmanuel Nchimbi is not a sycophant – Warioba
Africa East Africa Politics Tanzania

Dr. Emmanuel Nchimbi is not a sycophant – Warioba

Kevin SeweAugust 28, 2026

”These days if you tell the truth, you are dubbed a mole.”

Jamhuri, Lissu Ngoma Nzito Kesi Yaahirishwa
Africa Crime & Justice East Africa Kenya Politics Rights & Freedoms

Jamhuri, Lissu Ngoma Nzito Kesi Yaahirishwa

Wadh KassimAugust 27, 2026

Jamhuri imeonekana kulenga kutengeneza picha kwamba baadhi ya kauli na hoja zilizotolewa na Lissu katika utetezi wake zinapingana na ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka, huku Lissu akijibu kwa kusisitiza tafsiri yake ya matukio, sheria na ushahidi uliowasilishwa mahakamani.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy