Jamhuri yakimbilia Mahakama ya Rufani Baada ya Mahakama Kuu Kukataa Ushahidi wa Nyongeza
Mahakama ilibaini kuwa notisi iliyowasilishwa na Jamhuri ilikuwa ya maelezo ya nyongeza yasiyoangukia katika masharti ya kifungu hicho, hivyo haikuwa na msingi wa kupokelewa katika hatua ya sasa ya shauri.