Wanaharakati Uganda wazindua kampeni ya ”Bye Bye Museveni”
Vijana hao wana amini kuwa pahali imefikia, ni Mungu tu mwenye uwezo wa kumuondoa kiongozi huyo madarakani
Vijana hao wana amini kuwa pahali imefikia, ni Mungu tu mwenye uwezo wa kumuondoa kiongozi huyo madarakani
The group is convinced that only divine intervention can bring an end to President Yoweri Museveni’s decades-long rule
Former Kenyan Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP). Speaking…
Just last month, President Ruto declared that Kenya and China are “co-architects of a new world order. That’s not just alignment with China—it’s allegiance. Relying on leaders who so openly embrace Beijing is a mistake… It’s time to reassess our relationship with Kenya.
Tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya hivi karibuni yanayowalenga wanachama wa CHADEMA, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.
Golugwa was arrested on Monday night at the Julius Nyerere International Airport (JNIA) as he prepared to board a Turkish Airlines flight to Belgium to represent the party at the International Democracy Union (IDU) conference in Brussels, which starts tomorrow in Belgium.
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanzishwa kwa majimbo mapya nane ya uchaguzi pamoja na kubadilishwa kwa majina ya majimbo mengine 12, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Mwanasiasa mkongwe Martha Karua ametangaza nia yake ya kugombea urais wa Kenya katika uchaguzi wa mwaka 2027, akisema kuwa nchi hiyo iko “katika hali ya vurugu kamili” kutokana na ufisadi, mauaji yanayotekelezwa na polisi, na kuzorota kwa uchumi.
The European Parliament also voiced its opposition to the death penalty, calling for the Tanzanian government to stop its crackdown on opposition parties, civil society and journalists.
Katika mijadala yao, wabunge hao wamekemea waziwazi uwepo wa vitisho vya adhabu ya kifo kwa Lissu, wakisema kuwa mashtaka ya uhaini na kusambaza taarifa za uongo dhidi yake ni ya kisiasa na yenye lengo la kumzuia kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.