DPP Approves Charges against DP Gachagua’s Allies
According to the statement released from the DPP’s office, Gachagua’s allies are accused of financing and organizing protests that took place in June and the subsequent months.
According to the statement released from the DPP’s office, Gachagua’s allies are accused of financing and organizing protests that took place in June and the subsequent months.
“My boss, it’s no longer a secret that you’re the mastermind behind the dead-on-arrival plan to oust our President.” he stated
Kindiki argued that the action was necessary to prevent a potential coup and maintain the stability of the country.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema anakusudia kuishtaki kampuni ya Tigo na Serikali ya Tanzania katika mahakama ya Uingereza kufuatia kampuni hiyo kushirikiana na Serikali katika kutoa taarifa zake na kumfatilia hadi kusababisha kushambuliwa kwake.
Inadaiwa kwamba Tigo ilitoa taarifa za simu na eneo la Lissu kwa mamlaka za Tanzania kwa muda wote wa saa katika wiki zilizotangulia kabla ya shambulio hilo lililotokea tarehe 7 Septemba 2017.
The fake endorsements and brushoffs, which come as platforms such as the Elon Musk-owned X knock down many of the guardrails against misinformation, have prompted concern over their potential to manipulate voters as the race to the White House heats up.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameeleza kuwa mwezi huu umejawa na maombolezo kwa chama hicho kutokana na yanayoendelea kutokea dhidi ya wanachama wake ambapo hadi sasa baadhi yao hawajulikani walipo tangu walipotekwa na wasiojulikana huku wengine wakiishia mikononi mwa polisi kwa kesi zinazotajwa kuwa ni za uchochezi.
Watia nia 73 wameteuliwa na Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwania nafasi mbalimbali katika kanda tatu za chama hicho.
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa mabalozi waliotoa tamko kulaani mauaji ya kibao nchini, akisema kuwa Tanzania haitahitaji maelekezo kutoka kwa mtu yeyote kuhusu jinsi ya kuendesha mambo yake ya ndani.
“No child should be paying school fees in government primary or secondary schools. We will tackle this issue,” Museveni said.