Rais Mstaafu Wa Botswana Mogae Afariki Dunia Akiwa Na Miaka 86
Rais wa zamani wa Botswana Festus Gontebanye Mogae, aliyeliongoza taifa hilo la kusini mwa Afrika kwa muongo mmoja kuanzia 1998 na kupata sifa kwa mapambano dhidi ya UKIMWI, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, ikulu imetangaza Ijumaa.