Shahidi Akwamisha Kesi ya Lissu, Mahakama Yaahirisha hadi Jumatatu
Lissu ameendelea kupinga kuahirishwa kwa kesi hiyo akidai kuwa upande wa Jamhuri umekuwa ukiomba kuahirishwa kwa kesi mara kwa mara bila Mahakama kuchukua hatua dhidi yao.
Lissu ameendelea kupinga kuahirishwa kwa kesi hiyo akidai kuwa upande wa Jamhuri umekuwa ukiomba kuahirishwa kwa kesi mara kwa mara bila Mahakama kuchukua hatua dhidi yao.
Shahidi wa kificho katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameieleza Mahakama Kuu kuwa ana hofu ya kutoa ushahidi wake hadharani, akisema suala hilo ni “very sensitive” na kwamba wafuasi wa chama hicho wanaweza kuwa na hasira naye licha ya kuwa na mahusiano mazuri na Viongozi wakuu wa Chadema.
Katika mahojiano yake ya maswali ya dodoso kwa shahidi, Lissu alitaka shahidi aeleze iwapo hotuba yake ilikuwa ikizungumzia masuala ya uchaguzi na changamoto za mfumo wa uchaguzi nchini.
Shahidi alikiri kuwa jina la Tundu Lissu lilikuwepo katika maelezo hayo, lakini alikanusha kuwa aliandika kwamba aliona jalada lililomtaja Tundu Antipus Lissu alipofika kwa Naibu ZCO George Bagemu.
Straddling the border with Zimbabwe on the Zambezi River, the UNESCO World Heritage site anchors Zambia’s tourism industry alongside safari destinations such as South Luangwa and Lower Zambezi national parks.
Shahidi huyo ni Kamishna Msaidizi wa Polisi, Amini Mahamba, ambaye ndiye mpelelezi mkuu wa kesi hiyo mwenye umri wa miaka 50, ambaye amesema amekuwa akifanya kazi katika Jeshi la Polisi tangu mwaka 2000 na kwa sasa anafanya kazi katika kitengo kinachoshughulikia makosa ya mtandao, maadili ya umma na makosa yanayohusisha usalama wa nchi.
Tume hiyo imepewa jukumu la kuchunguza kwa kina watu waliohusika katika ghasia hizo, ikiwa ni pamoja na kubaini waliochochea matukio hayo na waliotoa fedha au rasilimali zilizowezesha kutokea kwa ghasia.
Besigye, mwenye umri wa miaka 70 na mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni, amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Mulago mjini Kampala baada ya kuanguka ghafla wakati kesi yake ikiendelea mahakamani Julai 30.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijawahi kufanya mazungumzo ya siri na serikali kuhusu maridhiano ya kisiasa, kikisisitiza kuwa msimamo wake unabaki ule ule wa kutaka Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kuachiwa huru bila masharti kabla ya hatua nyingine zozote za kisiasa.
The United Alternative Government co-principals instead accuse President Ruto’s administration of sabotaging the full implementation of the Vision 2030 agenda through rampant corruption and wastage in public service.