• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Politics

Mnyika: No Reforms No Elections Ilikua Chini Ya Mwenyekiti Mbowe
Crime & Justice East Africa Kenya Politics Rights & Freedoms

Mnyika: No Reforms No Elections Ilikua Chini Ya Mwenyekiti Mbowe

Wadh KassimAugust 31, 2026August 31, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, John Mnyika, ameendelea kuhojiwa kwa maswali ya dodoso na upande wa Jamhuri katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.

Mnyika Atumia Hotuba Ya Nyerere Utetezi Kesi Ya Lissu, Aibua Kifo Cha Akwelina
Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Mnyika Atumia Hotuba Ya Nyerere Utetezi Kesi Ya Lissu, Aibua Kifo Cha Akwelina

Wadh KassimAugust 31, 2026August 31, 2026

“Kesi ni mwendelezo wa kuwabambikia viongozi wa CHADEMA kesi za uongo na mbinu za kukwamisha mabadiliko, ni matumizi yasiyo ya haki ya njia za kimahakama na kisheria dhidi ya wapinzani na CCM dhidi ya CHADEMA na viongozi wake,”Mnyika

Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Ahitimisha Utetezi Baada Ya Siku Tano Mahakamani, Shahidi Mwingine Kuendelea

Wadh KassimAugust 28, 2026

Lissu amepanga kuleta mashahidi 12 kwa ajili ya utetezi dhidi yake akiwemo na yeye mwenyewe huku, wengine wakiwa ni Viongozi wakuu wa serikali na Chama chake.

Dr. Emmanuel Nchimbi is not a sycophant – Warioba
Africa East Africa Politics Tanzania

Dr. Emmanuel Nchimbi is not a sycophant – Warioba

Kevin SeweAugust 28, 2026

”These days if you tell the truth, you are dubbed a mole.”

Jamhuri, Lissu Ngoma Nzito Kesi Yaahirishwa
Africa Crime & Justice East Africa Kenya Politics Rights & Freedoms

Jamhuri, Lissu Ngoma Nzito Kesi Yaahirishwa

Wadh KassimAugust 27, 2026

Jamhuri imeonekana kulenga kutengeneza picha kwamba baadhi ya kauli na hoja zilizotolewa na Lissu katika utetezi wake zinapingana na ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka, huku Lissu akijibu kwa kusisitiza tafsiri yake ya matukio, sheria na ushahidi uliowasilishwa mahakamani.

Jamhuri Yambana Lissu, Maswali Ya Dodoso
Africa Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Jamhuri Yambana Lissu, Maswali Ya Dodoso

Wadh KassimAugust 26, 2026

Lissu amesisitiza kuwa hana wajibu wa kuthibitisha kesi hiyo, akirejea misingi ya sheria ya ushahidi.

Lissu Amaliza Kujitetea, Asema Hakuna Ushahidi wa Kuthibitisha Kosa la Uhaini
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Amaliza Kujitetea, Asema Hakuna Ushahidi wa Kuthibitisha Kosa la Uhaini

Wadh KassimAugust 26, 2026

Lissu amewaambia majaji kwamba ushahidi alioutoa unaonyesha kuwa upande wa Jamhuri haujathibitisha vipengele muhimu vya kosa la uhaini, ikiwemo kuwepo kwa nia ya kutenda kosa hilo.

Lissu: “No Reform, No Election Ulikuwa Msimamo wa CHADEMA, Si Mpango wa Uhaini”
Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Lissu: “No Reform, No Election Ulikuwa Msimamo wa CHADEMA, Si Mpango wa Uhaini”

Wadh KassimAugust 24, 2026August 24, 2026

Lissu amesema suala la uchaguzi na Katiba lilikuwa sehemu ya mjadala mpana ndani ya CHADEMA, na kwamba msimamo wa “No Reform, No Election” haukuanzishwa na yeye binafsi.

Lissu: “Kesi ya Uhaini ni Mwendelezo wa Kesi za Kisiasa Nilizofunguliwa”
Africa Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Lissu: “Kesi ya Uhaini ni Mwendelezo wa Kesi za Kisiasa Nilizofunguliwa”

Wadh KassimAugust 24, 2026

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema kesi ya uhaini inayomkabili ni mwendelezo wa kesi mbalimbali za kisiasa ambazo amedai amekuwa akifunguliwa na Serikali kwa miaka mingi kutokana na misimamo na shughuli zake za kisiasa.

Lissu Aanza Kujitetea Mwenyewe Kesi Ya Uhaini, Akumbushia Kupigwa Risasi
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Aanza Kujitetea Mwenyewe Kesi Ya Uhaini, Akumbushia Kupigwa Risasi

Wadh KassimAugust 21, 2026

Lissu amekuwa shahidi wa kwanza wa utetezi na ameanza kutoa ushahidi wake chini ya kiapo, akieleza kuwa hajawahi kutoa ushahidi mahakamani na hivyo kuomba aongozwe katika hatua hiyo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy