Africa Crime & Justice East Africa People Politics Tanzania

Shahidi wa Kificho Asema Ana Hofu Kutoa Ushahidi Hadharani Katika Kesi ya Uhaini ya Lissu

Shahidi wa kificho katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameieleza Mahakama Kuu kuwa ana hofu ya kutoa ushahidi wake hadharani, akisema suala hilo ni “very sensitive” na kwamba wafuasi wa chama hicho wanaweza kuwa na hasira naye licha ya kuwa na mahusiano mazuri na Viongozi wakuu wa Chadema.

Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Mpelelezi Mkuu katika kesi ya uhaini dhidi ya Lissu, aeleza mbinu alizotumia kumpeleleza  Lissu

Shahidi huyo ni Kamishna Msaidizi wa Polisi, Amini Mahamba, ambaye ndiye mpelelezi mkuu wa kesi hiyo mwenye umri wa miaka 50, ambaye amesema amekuwa akifanya kazi katika Jeshi la Polisi tangu mwaka 2000 na kwa sasa anafanya kazi katika kitengo kinachoshughulikia makosa ya mtandao, maadili ya umma na makosa yanayohusisha usalama wa nchi.