Kesi Ya Lissu Yaahirishwa Kwa Muda Usiojulikana
Wakili Mkuu wa Serikali Nassoro Katuga, ulieleza kwamba mapingamizi yaliyotolewa na mshtakiwa yanahitaji muda zaidi kujibiwa kwa kina, kwani yanagusa vifungu kadhaa vya sheria za ndani na za kimataifa.
Wakili Mkuu wa Serikali Nassoro Katuga, ulieleza kwamba mapingamizi yaliyotolewa na mshtakiwa yanahitaji muda zaidi kujibiwa kwa kina, kwani yanagusa vifungu kadhaa vya sheria za ndani na za kimataifa.
“Our country has lost its dignity because of what transpired during the week of the general election,” said Archbishop Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, leading the service.
Khama condemned leaders who cling to power through violence and manipulation, saying, “It is totally unacceptable when an African leader, in order to stay in power, will resort to killing his or her own people, will rig an election as if they are God’s gift to their country.”
Wakili wa Serikali, Thawabu Issa, akiwasilisha maelezo kwa niaba ya wenzake, alieleza kuwa baada ya kufika mahakamani na kutomuona mshtakiwa, walifanya mawasiliano na Jeshi la Magereza ambapo Mkuu wa Magereza aliwataarifu kwamba Lissu hakuweza kufikishwa mahakamani kwa sababu za kiusalama.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.
Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.
The opening of Parliament comes amid intense national unrest and international condemnation following the disputed October 29 elections. Over 700 people have reportedly died in post-election protests, according to opposition sources, with security forces accused of using live ammunition against demonstrators.
Kiongozi huyo wa TLS alidai kuwa Heche alikamatwa na kuzuiliwa kinyume cha sheria, na kwamba wakati wa tukio hilo, vyombo vya dola vilikuwa.
His current location remains unknown, raising serious concerns about his safety and wellbeing.