Samia Amkaba Ruto Hadharani Kuhusu Refinery ya Tanga
Rais Samia Suluhu Hassan alimhoji hadharani Rais Ruto kuhusu tangazo lake la awali kuhusu mpango wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta huko Tanga, akisema hakuwa na taarifa nalo
Rais Samia Suluhu Hassan alimhoji hadharani Rais Ruto kuhusu tangazo lake la awali kuhusu mpango wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta huko Tanga, akisema hakuwa na taarifa nalo
During the joint press briefing, Tanzanian President Samia Suluhu Hassan openly questioned Ruto over his earlier announcement about plans for an oil refinery in Tanga, saying she had not been informed beforehand.
Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa rais Mei 2020 katika uchaguzi uliokumbwa na tuhuma za udanganyifu na kuondolewa kwa mpinzani wake mkuu.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Tume imepata ushahidi unaoonyesha kuwa matukio hayo hayakutokea kwa bahati mbaya, bali yalipangwa, yaliratibiwa, yalifadhiliwa na kutekelezwa na watu waliokuwa na maandalizi ya awali, ikiwemo kupata mafunzo maalum.
Ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 imeeleza kuwa ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania zilitokana na mkusanyiko wa changamoto za muda mrefu zilizokuwa zikijengeka ndani ya jamii bila kushughulikiwa ipasavyo.
Kwa miezi kadhaa, taifa limekuwa likikabiliwa na sintofahamu na maswali mazito kuhusu tukio hilo, likiwemo uwezekano wa kuhusika kwa makundi yenye maslahi ya kisiasa, pamoja na madai ya uwepo wa ushirikiano wa ndani na nje ya nchi madai ambayo bado hayajathibitishwa rasmi.
“The commission was established as an afterthought, designed to create the appearance of accountability while in fact undermining any possibility of a credible, independent investigation into the tragic events we experienced”
Kenya, Tanzania na Uganda yametajwa miongoni mwa mataifa yanayoshiriki katika ukandamizaji wa wapinzani na wanaharakati nje ya mipaka yao, ikionyesha Afrika Mashariki kama kitovu cha mashirikiano ya kiusalama yenye sura ya kiimla, kulingana na ripoti mpya ya Freedom House
US President Donald Trump’s threat to destroy Iran’s centuries-old civilisation was the red line that prompted Pope Leo to show his colours, analysts say.
The order announced by Min Aung Hlaing — the coup leader who ousted Suu Kyi’s government and was sworn in last week as civilian president — to reduce the remaining terms of all sentences under 40 years by one-sixth “also applies to her”, the source said.