Serikali ya Tanzania yakanusha ukandamizaji wa kisiasa wakati uchaguzi ukiakaribia
Akijibu ripoti iliyotolewa na Shirika la Kutetea Haki za Binadamu, Human Rights Watch (HRW), Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema madai hayo hayana msingi na yanapotosha hali halisi ya nchi.