Tanzania Govt Accuses CNN, BBC and Al Jazeera of “Deliberate Misreporting”
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
Waathiriwa, wengi wao wakiwa hawana silaha, walipigwa risasi na polisi, miili yao ikitupwa kama takataka. Mwanamke mjamzito ambaye alijikuta katikati ya vurugu alifyatuliwa risasi mgongoni wakati akijaribu kukimbia. Daktari aliyewahudumia majeruhi aliripoti muundo wa kutisha wa majeraha ya risasi, hasa kichwani, tumboni, kifuani na kwenye miguu.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Novemba 19, 2025, amesema Rais Samia hana mamlaka ya kimaadili wala kisiasa kuunda chombo cha kuchunguza kile chama hicho kinachokitaja kuwa ni uhalifu uliotekelezwa na Serikali yake dhidi ya raia waliokuwa wakidai haki zao za kidemokrasia.
Rais Samia amesema Tanzania kwa kiasi kikubwa bado inategemea mikopo kutoka taasisi za Kimataifa ili kuendeleza miradi yake ya maendeleo. Hata hivyo, kutokana na matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi, huenda taasisi hizo zikapungukiwa na imani ya kuifadhili Tanzania. Ameeleza kuwa sasa ni muhimu kutafuta mbinu mbadala za kupata fedha, ikiwemo kutumia rasilimali za taifa zilizo ndani ya nchi.
Akitangaza hatua ya serikali kuunda Tume maalum ya uchunguzi, alisema uchunguzi huo utakuwa msingi wa kuelewa chanzo cha migogoro na kuchukua hatua za kurejesha maelewano ya kitaifa.
They claimed that the operation was carried out by a “militia” linked to General Muhoozi Kainerugaba, Museveni’s son and accused regional governments of collusion.
Pretoria and Washington have clashed over a range of policy issues, including South Africa’s summit agenda, culminating in President Donald Trump announcing at the weekend that no US official will attend the Johannesburg gathering.
Wakili Mkuu wa Serikali Nassoro Katuga, ulieleza kwamba mapingamizi yaliyotolewa na mshtakiwa yanahitaji muda zaidi kujibiwa kwa kina, kwani yanagusa vifungu kadhaa vya sheria za ndani na za kimataifa.
“Our country has lost its dignity because of what transpired during the week of the general election,” said Archbishop Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, leading the service.
Khama condemned leaders who cling to power through violence and manipulation, saying, “It is totally unacceptable when an African leader, in order to stay in power, will resort to killing his or her own people, will rig an election as if they are God’s gift to their country.”