European Parliament Debates Resolution on Tundu Lissu’s Arrest and Risk of Execution
Although the resolution condemning his arrest was debated, the vote is scheduled for today May 8th 2025.
Although the resolution condemning his arrest was debated, the vote is scheduled for today May 8th 2025.
President Anura Kumara Dissanayake’s coalition received the most votes in 265 out of the 339 councils, but fell short of an outright majority in about half of them.
Kundi la viongozi wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), maarufu kama G55, limetangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania, likidai kukithiri kwa ukiukwaji wa katiba, ubaguzi na siasa za visasi zinazoendeshwa na uongozi wa sasa.
The debate will take place from 13:00 to 22:00 CET
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa siku 13 hadi Mei 19, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi haujakamilika.
Bunge la Ulaya linatarajia kukutana tarehe 7 Mei 2025 kwa ajili ya mjadala wa dharura kuhusu kesi inayomkabili Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu.
Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa alikamatwa tarehe 9 Aprili 2025 majira ya saa za jioni akiwa Ruvuma muda mchache mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mbinga.Usiku huo huo alisafirishwa hadi Dar es Salaam chini ya ulinzi mkali wa maofisa wa polisi na kufikishwa katika kituo cha kati cha Polisi.
The European Parliament’s debate will focus on issues of fundamental freedoms, human rights and democracy in general, under President Samia Suluhu Hassan’s administration, which has faced allegations of undermining democratic freedoms.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Antiphas Lissu Mwenyekiti wa Chadema na mwanasiasa maarufu wa upinzani, Tundu Antiphas Mughwai Lissu, akiwa…
CHADEMA has condemned the attack, calling it a clear indication of the deteriorating state of civil and political rights in Tanzania.