Lissu: “No Reform, No Election Ulikuwa Msimamo wa CHADEMA, Si Mpango wa Uhaini”
Lissu amesema suala la uchaguzi na Katiba lilikuwa sehemu ya mjadala mpana ndani ya CHADEMA, na kwamba msimamo wa “No Reform, No Election” haukuanzishwa na yeye binafsi.
Lissu amesema suala la uchaguzi na Katiba lilikuwa sehemu ya mjadala mpana ndani ya CHADEMA, na kwamba msimamo wa “No Reform, No Election” haukuanzishwa na yeye binafsi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema kesi ya uhaini inayomkabili ni mwendelezo wa kesi mbalimbali za kisiasa ambazo amedai amekuwa akifunguliwa na Serikali kwa miaka mingi kutokana na misimamo na shughuli zake za kisiasa.
Lissu amekuwa shahidi wa kwanza wa utetezi na ameanza kutoa ushahidi wake chini ya kiapo, akieleza kuwa hajawahi kutoa ushahidi mahakamani na hivyo kuomba aongozwe katika hatua hiyo.
Police in Zambia have confirmed that former government minister and opposition lawmaker Mutotwe Kafwaya was shot dead during a joint security operation at the residence of opposition leader Brian Mundubile, following last week’s elections.
Violence broke out on Sunday ahead of a rally in Homa Bay, in the country’s southwest, by opposition movement Linda Mwananchi, which is seeking to oust President William Ruto in elections due next year.According to RSF, at least eight journalists were assaulted and media vehicles vandalised, both before and during the rally.
A recent poll by Israel’s Institute for National Security Studies (INSS) found that the scenario seen as most threatening over the next five years was “violent conflict between societal groups” — narrowly ahead of “Iran acquiring a nuclear weapon”. Both were cited by about 39 percent of respondents.
Obado and his co‑accused face the possibility of life imprisonment or the death penalty, depending on the court’s final determination.
Safari ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imechukua zaidi ya mwaka mmoja tangu alipokamatwa katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Aprili 9, 2025.
Ushindi wa Hichilema, mwenye umri wa miaka 64, ulitarajiwa kwa kiasi kikubwa. Alikuwa akikabiliwa na wagombea 13, akiwemo aliyekuwa waziri wa zamani wa mkoa, Brian Mundubile, ambaye alikuwa akigombea urais kwa mara ya kwanza.
A ruling is expected to be delivered on Friday, August 21, 2026, at 9:00 AM