#KENYA: Senate Speaker Amason Kingi Gazettes Mwangaza’s Impeachment
Senate Speaker Amason Kingi has officially ratified the impeachment of Meru Governor Kawira Mwangaza in a Gazette Notice. The Gazette…
Senate Speaker Amason Kingi has officially ratified the impeachment of Meru Governor Kawira Mwangaza in a Gazette Notice. The Gazette…
The High Court has temporarily halted the impeachment of Meru Governor Kawira Mwangaza. The court issued conservatory orders preventing the…
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), kimepinga amri ya Serikali iliyochapishwa kwenye Gazeti la Serikali namba 673 la tarehe 02 Agosti, 2024, ambapo kwa mujibu wa chapisho hilo imewaondoa wananchi wote wa Tarafa ya Ngorongoro kwenye ardhi yao kwa kufuta Kata, Vijiji na Vitongoji vyote vya Tarafa hiyo.
Chama cha ODM kimesitisha kimya chake na kumtetea kiongozi wake Raila Odinga dhidi ya madai kwamba amekiongoza chama hicho kujiunga…
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umesema umeshtushwa” na ripoti kwamba polisi wa Tanzania walitumia nguvu kupita kiasi walipowakusanya wanachama kadhaa wa upinzani kutokana na maandamano ya vijana yaliyopigwa marufuku wiki hii.
Iran on Tuesday rebuffed Western calls to withdraw its threat to retaliate against Israel for the killing of Hamas political…
Kwa mujibu wa Naibu Katibu Mkuu Bara kutoka chama cha Chadema bwana Benson Kigaila ni kwamba katika kundi kubwa la watu takribani 500 waliokamatwa na Polisi kati ya siku hizo mbili, wakiwemo viongozi wakuu wa chama hicho ni kwamba Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu wameumizwa vibaya kutokana na nguvu iliyotumika kuwakamata.
Katika taarifa ya Chadema iliyotolewa na John Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje kupitia ukurasa wake wa X zamani Twitter, imeeleza viongozi hao walirudishwa kutoka jijini Mbeya walikokamatiwa na kurejeshwa Dar es salaam usiku chini ya ulinzi wa Polisi.
Chama cha ACT Wazalendo kimelaani na kukemea vikali vitisho vya Jeshi la Polisi na kukamatwa kwa viongozi wakuu wa CHADEMA na kuzuiwa kwa kongamano la vijana wa CHADEMA katika kuadhimisha siku ya vijana duniani iliyopangwa kufanyika leo Agosti 12, jijini Mbeya.
Jeshi la Polisi nchini Tanzania linawashikilia viongozi wakuu wa chama cha upinzani cha Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, aliyekuwa mgombea urais Tundu Lissu, na kuwakusanya mamia ya wafuasi wa vijana wa chama hicho