Shahidi wa pili aeleza alivyotambua Jinai kwenye video ya Tundu Lissu
Shahidi wa kwanza alihitimisha ushahidi wake leo baada ya kuhojiwa kwa maswali ya nyongeza na jopo la mawakili wa Serikali
Shahidi wa kwanza alihitimisha ushahidi wake leo baada ya kuhojiwa kwa maswali ya nyongeza na jopo la mawakili wa Serikali
Katika mahojiano hayo, Lissu alitumia takribani saa saba kumuhoji Shahidi huyo kuanzia majira ya saa 3:30 mpaka saa 10, muda wote aliutumia kupima uhalali wa ushahidi wa shahidi huyo, akihusisha masuala mbalimbali kulinga na ushahidi aliouandika katika maelezo yake ikiwamo ya taratibu za kiuchunguzi, matumizi ya notebook ya polisi, video za ushahidi na tafsiri ya maneno yaliyotumika kwenye mashtaka ya uhaini.
Humphrey’s mother added that it is painful to see a country once guided by the late Mwalimu Nyerere’s values turn into a place where citizens can disappear without trace
According to the statement signed by Brenda Rupia, the party’s Director of Communications and Publicity, several people were beaten and dispersed by police officers in the court compound.
He further accused police officers stationed at the court of assaulting citizens who had gathered peacefully to follow the proceedings, calling it a violation of constitutional rights.
Captain Tesha, a weapons instructor at the Military Aviation School (SAK), cited widespread corruption, electoral malpractices, and human rights abuses as major threats to national security.
Youth-led protests demanding reforms to public healthcare and education took place on Friday in several Moroccan cities for a seventh day in a row, an AFP journalist and local media reported.
The poorest country in the Americas, Haiti has long suffered at the hands of violent criminal gangs that commit murders, rapes, looting, and kidnappings against a backdrop of chronic political instability.
Akijibu ripoti iliyotolewa na Shirika la Kutetea Haki za Binadamu, Human Rights Watch (HRW), Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema madai hayo hayana msingi na yanapotosha hali halisi ya nchi.
This incident comes just months after Kenyan activist Boniface Mwangi and Ugandan journalist Agather Atuhaire were abducted in Tanzania.